makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,897
- 104,126
Duh.. kweli waingereza sio dhamana.. ndio wametuambukiza huu uchizi..Wanachangamkia fursa
Duh.. kweli waingereza sio dhamana.. ndio wametuambukiza huu uchizi..Wanachangamkia fursa
Sawa ndugu yangu, ondoa shaka mufti.. nakutakia kila la kheri, mambo yako yafanikiwe kiulain, urud tena tuendeleze gurudumu la kapuku. Inshaallah kheri.Maka kwa sababu uliingia chaka mwezi naa.... Na mimi nakuaga naingia chaka mpaka November.... Yoyote atakayeniulizia utampa taarifa kwa niaba yangu tafadhali ....sawa Maka.?
Vip hali jirani.. mamaa ya batoto yako iko byeee..!!?Morning jirani
UmechapiaMorng jiranj
Morning shululu hopely hujambo na pia mzima wa siha njemaMorning all kapuku
Na wewe pia mkuu shululu ahsante sana kwa font ferdView attachment 603686Asubuhi njema makapuku wote na week end njema
Pamoja sana jiraniShukrani kwa magazeti jirani..
Iko byee, vip sweetiepie hajamboVip hali jirani.. mamaa ya batoto yako iko byeee..!!?
Kuonesha na mie ni binadamu, sio mungu..![]()
![]()
![]()
na vilema, vipofu, vizuri na albino jeMorning, niko poa kabisa Mwifwa, za pande hizoMorning shululu hopely hujambo na pia mzima wa siha njema
Iko na byeee kabisa...Iko byee, vip sweetiepie hajambo
AaminSawa ndugu yangu, ondoa shaka mufti.. nakutakia kila la kheri, mambo yako yafanikiwe kiulain, urud tena tuendeleze gurudumu la kapuku. Inshaallah kheri.
...najua sana mnanipenda na siku mlipokuja kwenye birthday yangu nilifurahi sana. nikawapiga picha wewe umekaa kwa mbalia na anko kwenye nguo zake za kipedeshee
![]()
Shunie ndo yule mwenye pensi ya bluu
Salama wa salminWakuu habar za siku.
Uko poaSalama wa salmin