Makapuku Forum

Makapuku Forum

Maka kwa sababu uliingia chaka mwezi naa.... Na mimi nakuaga naingia chaka mpaka November.... Yoyote atakayeniulizia utampa taarifa kwa niaba yangu tafadhali ....sawa Maka.?
Sawa ndugu yangu, ondoa shaka mufti.. nakutakia kila la kheri, mambo yako yafanikiwe kiulain, urud tena tuendeleze gurudumu la kapuku. Inshaallah kheri.
 
...najua sana mnanipenda na siku mlipokuja kwenye birthday yangu nilifurahi sana. nikawapiga picha wewe umekaa kwa mbalia na anko kwenye nguo zake za kipedeshee

anigif_enhanced-21940-1433451335-2.gif
Shunie ndo yule mwenye pensi ya bluu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom