Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,623
...anko wangu sio huyu aliyekaa kifua game, anko wangu kapita kwa mbali kavaa raba za Nike? Uwe unaangalia picha vizuri, ooh, leo kweli umekunywa heineken

...anko wangu sio huyu aliyekaa kifua game, anko wangu kapita kwa mbali kavaa raba za Nike? Uwe unaangalia picha vizuri, ooh, leo kweli umekunywa heineken

ShedyWakuu habar za siku.
Nambie tumosaShedy
Poa kabisa, sijui wewe.Uko poa
Mi niko poa sanaPoa kabisa, sijui wewe.
Pamoja boiMi niko poa sana
Shemu langu lilipendeza![]()
![]()
Shunie ndo yule mwenye pensi ya bluu
Binamu ukujeeee unitake radhi![]()
![]()
![]()
Mwambie akutake radhi
Umefurahiiiii mwenyewe mke mwee![]()
![]()
Shunie ndo yule mwenye pensi ya bluu
ShededeeeeeeeeeWakuu habar za siku.
Kho kho khoNiko poa kabisa
Nionee malkia kan
SweetKho kho kho
Babu yangu naona na wewe ushapata wa kukuteka mnaenda kutekana sasaMaka kwa sababu uliingia chaka mwezi naa.... Na mimi nakuaga naingia chaka mpaka November.... Yoyote atakayeniulizia utampa taarifa kwa niaba yangu tafadhali ....sawa Maka.?
Shemela jamaanAsante kwa kuliona hilo Obe
Nimekumiss ujue
![]()
![]()
Shunie ndo yule mwenye pensi ya bluu
namuona shemela wangu kwa shunie anazirudi balaa