Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 14,001
- 31,770
Naona Leo ametekwa akili sio akili yake hiyoWacha Uchokozi Rafiki
Naona Leo ametekwa akili sio akili yake hiyoWacha Uchokozi Rafiki
Akina nani tena hao rafiki?nilikuwepo salama nyingi kwa wote ....bila kusahau wale wanafiki wa jukwaaa hilii
Tunashukuru sanaaasalaaam nyingii wapendwaa
Nini babuHmmm
msinishangae... nauliza mda now ni saa ngapi kwa saa za kihome home ...nilipo hakuna ata jogoo

Sina neno mimiNini babu
shemTunashukuru sanaaa
Njema ndugu yangu Mungu anatutunzaNzuri kabisa mama mchungaji
Za familia yako
Hahaha
mama mchuchuHahaha
Ubarikiwesalaaam nyingii wapendwaa
nilikuwepo salama nyingi kwa wote ....bila kusahau wale wanafiki wa jukwaaa hilii

Vipi Mkwe wangu za uzimamama mchuchu
nzurii mamaVipi Mkwe wangu za uzima