Nimechelewa kidogo ndugu mwenyekiti, na wajumbe wote si mnajua tena mtaa tunayo kaa, nimekuja na trot kama mnavoona mijasho kibao, tuko pamoja nahitaji suport yenu.
Nimechelewa kidogo ndugu mwenyekiti, na wajumbe wote si mnajua tena mtaa tunayo kaa, nimekuja na trot kama mnavoona mijasho kibao, tuko pamoja nahitaji suport yenu.
Yah..It's Furahi day...Jiachie utakavyo my my mi nipo kwa ajili yako ukimwaga kinywaji cha mtu nalipa, Mtu akikuzingua nampa Nakoz..Na ukitaga kuanguka nitakuwa hapo kwa ajili yako...Unataka nini tena my dear?