Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,117
Nimeliona hili mkuu, sasa imebidi nifunguke kidogoKumbe umeliona hili
Nimeliona hili mkuu, sasa imebidi nifunguke kidogoKumbe umeliona hili
Pamoja sana...We nipe tu kadri inavyowezekana and i will appreciate kwasasa karibia ile safu wakongwe watakuwa out maana tunaendelea kuwapangua mmoja mmoja, pamoja na figisu figisu za hapa na pale ila sio haba tunaongoza
[emoji120] [emoji120]
Kuna watu nitawakaushiaNimeliona hili mkuu, sasa imebidi nifunguke kidogo
Karibu tenaAisee nimerudi rasmi.
Mi nimeshaanza kuchukua hatua.....Kuna watu nitawakaushia
Safi sanaMi nimeshaanza kuchukua hatua.....
Mumy sema neno moja tu na moyo wangu upate faraja..[emoji30] [emoji30] [emoji31] [emoji31] [emoji26] [emoji25]
[emoji481] [emoji481] [emoji481] [emoji481] [emoji481] [emoji485] [emoji485] [emoji485] [emoji485] [emoji482] sa kumbe vepe[emoji3] [emoji3]Huku tukipata[emoji482] [emoji490]
Tunywe mpaka tusahau shida za dunia[emoji481] [emoji481] [emoji481] [emoji481] [emoji481] [emoji485] [emoji485] [emoji485] [emoji485] [emoji482] sa kumbe vepe[emoji3] [emoji3]
Sana tu...... Cheers[emoji485] [emoji485]Tunywe mpaka tusahau shida za dunia
Ngoja nimuite tujumuike pamojaTunywe mpaka tusahau shida za dunia
Aisee weekend imekaa poa sana.Buheri wa afya..... Habari ya wikiend
Umeuza nini??Aisee weekend imekaa poa sana.
Nasubiri unipitie tukatumbue pesa za urithi.
Nimeuza haka kajumba ka urithi maana kila nikiangalia umri unaenda na muda wa kula bata unapita.Umeuza nini??
Sasa kama ni kajumba hela itatosha kweli?? Manake si tuliuza Jumba na pesa ilitosha kwa siku moja tu sasa hizo si zitaishia kwenye nauli tu[emoji134] [emoji134]Nimeuza haka kajumba ka urithi maana kila nikiangalia umri unaenda na muda wa kula bata unapita.
Basi hamna shida mimi nitagharamia nauli.Sasa kama ni kajumba hela itatosha kweli?? Manake si tuliuza Jumba na pesa ilitosha kwa siku moja tu sasa hizo si zitaishia kwenye nauli tu[emoji134] [emoji134]
Aione na Zamaulid labda ataongezea chenji iliyobaki lol