Makapuku Forum

KUWA MWANGALIFU NA MANENO YAKO UTAMKAYO.....

MATHAYO 12

37. Kwa kuwa kwa maneno yako utahesabiwa haki, na kwa maneno yako utahukumiwa.


MITHALI 6

2.Basi umetegwa kwa maneno ya kinywa chako, Umekamatwa kwa maneno ya kinywa chako.


NAWATAKIA USIKU MWEMA MLINDWE NA DAMU YA YESU
 
Amen
 
Hivi juice ya tende ina nini jirani
Chukua faida za tende mwilini, jumlisha na maziwa hamna la ziada labda utamu wake unanikosha, napenda ladha yake.

Katika quraan 16:66 maziwa yametajwa kama ndio kinywaji bora
Wakati bi maryam anajifungua nabii issa alioteshewa mtende, mtume pia alikuwa anapenda tende

Mengine ni maneno ya watu tuu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…