Makapuku Forum

Cobblepots Jimena briz nimewawakilisha vyema japo changamoto zilikuwa nying
Pamoja sana mkuu, nilikuwa na tatizo la kuingia JF toka jana usiku, yani ilikuwa ni mpaka nitumie browser ila application ilikuwa hainipi option ya kureply wala kuqoute sasa nimelazimika kuifuta na kuidownload upya ndo naona mambo yako sawa sasa,

Nafurahi mmewakilisha vyema na nakutakia siku njema
 
Ht me jana usiku ilikuwa full magumashi nikaingia kwenye browser
Halafu browser ngumu kuliko App

.................
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…