km una hamu ya kupigwa "Tanganyika jeki" itakuwa vizuri tena utanambia nikusindikize mpendwa wangu
Asanteee mpendwa wangu jamani...wewe ndo kila kitu kwangu, mengine nayaona ila siyaangalii maana macho ya moyo wangu yamechagua kukuangalia wewe peke yako
Mwambie atakusikia tuEbu niombee jaman kaka akee binamu obe niwekee hiii nyimbo baba yangu binamu jaman
Team kibaSeduce me
Bonge la ngoma ukisikilizia kwa home theater ndo utajua wat i mean
Muziki wa Wapendanao: Viporo vya Afya
Ni chaguo la aunty yangu mpendwa na kila mmoja humu anajua linaenda wapi, linaenda kwa mjomba wangu lee empire
Na bila kinyongo wanatushirikisha nasi tufurahie.
Binamu nitake radhi sijachagua hiyo nyimboo kasome post yangu usitake kunivurugaaaaaMuziki wa Wapendanao: Viporo vya Afya
Ni chaguo la aunty yangu mpendwa na kila mmoja humu anajua linaenda wapi, linaenda kwa mjomba wangu lee empire
Na bila kinyongo wanatushirikisha nasi tufurahie.
...wewe ndo kila kitu kwangu, mengine nayaona ila siyaangalii maana macho ya moyo wangu yamechagua kukuangalia wewe peke yako
Niko nalala niwekee nyimbo niliyochaguaOkay, ngoja niisake sasa maana hivi viporo vitanipa mshipa bure
Binamu nitake radhi sijachagua hiyo nyimboo kasome post yangu usitake kunivurugaaaaa
Shangaa na wewe mke mwee nitamfunga huyu binamu baba asinitanie nalala niikute nyimbo niliyochaguando nyimbo ya jux au mm cjamckia Shunie
Hivi wewe na tumosa hamuonagi tag zangu au ujue jana nilikua entertainment nimewaita kulikuwa kuna story kama mbili
Mwambie ajiangalie sijal ni baba angu au binamu yangu nitamfunga
Huwa anaanzaga ile aliyoandaa yeye kuicheza afu baada ya hapo ndio linafata chaguo LA msikilizajiShangaa na wewe mke mwee nitamfunga huyu binamu baba asinitanie nalala niikute nyimbo niliyochagua