Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Ebu niombee jaman kaka akee binamu obe niwekee hiii nyimbo baba yangu binamu jamanMwambie mjombako obe akuwekee
Ebu niombee jaman kaka akee binamu obe niwekee hiii nyimbo baba yangu binamu jamanMwambie mjombako obe akuwekee
Kazana binamu changanya na kimakonde...acha tu binamu, yaani imebidi nivae kabisa na nimechomekea vizuri kujieleza kwa mahabuba, laaziz wangu Husna na nimejipulizia pafyumu ya gift of zanzibar ili maelezo yangu yanukie fresh
Sehemu ganiSijakariri tuna mji pale
Unavokaaga mbali ww bora hata mm huwa nakusaidiaSawa sawa ipo siku yako
Obe na anko wake saresare kama yangeyange



na mimi shirt analovaa baba d ndio nashonatumosa na karikiti yake veeep
Wewe huyo binamu baba yangu....lol! nani? mie huyu nianze kuongelea mambo ya shanga, no way! Me habari zangu ni kuwa nikitoka Lindi namletea zawadi kipenzi changu wa moyo, anajua na ulimwengu mzima unajua.
me na Tumosa hatuna ugomvi kama paka na mbwa wanaokaa nyumba za jirani
Kweli kabisa....lol! nani? mie huyu nianze kuongelea mambo ya shanga, no way! Me habari zangu ni kuwa nikitoka Lindi namletea zawadi kipenzi changu wa moyo, anajua na ulimwengu mzima unajua.
me na Tumosa hatuna ugomvi kama paka na mbwa wanaokaa nyumba za jirani
Ushirika pale paleSehemu gani
Unavokaaga mbali ww bora hata mm huwa nakusaidia







ebu niambie umenisaidia lini
Ndo vileeeee ushirika motooooo
Sawa mke mweee kitambaa kikibaki na akina wawili nao watavaa hyo sarena mimi shirt analovaa baba d ndio nashona
Yangu machoKweli kabisa

Sawa mke mweee kitambaa kikibaki na akina wawili nao watavaa hyo sare







Mmh pale pale wapi stend auUshirika pale pale
Umesahau eeeh,mara nyingi nanunuaga kesi zako leo unajtoa ufahamuebu niambie umenisaidia lini
Pale pale stand mke mwee ukitoka kyela upande wa kushoto kuna lodge lakini imevunjwa sasa hiviMmh pale pale wapi stend au
Liniiii jaman ndio unikumbushe mke mwee ila me sikumbuki kwakweliUmesahau eeeh,mara nyingi nanunuaga kesi zako leo unajtoa ufahamu
Huhuhuuu,sawaPale pale stand mke mwee ukitoka kyela upande wa kushoto kuna lodge lakini imevunjwa sasa hivi