moneytalk
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 8,040
- 16,870
Ebu pakua msosi






baba d ebu acha hizo mambo ujue kama ya kina tumosa eti chakula kipo mezani na mambo zao za bongo movie tukale baba wangu tulale binamu yako utaonana nae hata kesho
Tumuache naomba tutoke jaman kesho tenaAu tumuachee na majungu yake
Tangu lini mke akawa mkuu...
Alafu y umetumia simu yangu na kuandika hodiiiiii

Nimekumis
Nimemis majungu yakeeebaba d ebu acha hizo mambo ujue kama ya kina tumosa eti chakula kipo mezani na mambo zao za bongo movie tukale baba wangu tulale binamu yako utaonana nae hata kesho
uko poa shem wanguNimekumis
Kidogoo huku nikimalizia nachoangaliaa apa sebureniTumuache naomba tutoke jaman kesho tena
AhaaaaaaaSafi shemela wangu shululu baba jj mwenyewe na watoto wako wa insta unaendeleaje jaman
Niko poa kabisa ...leo sala ya wife umeonaa ??uko poa shem wangu
Hivi wewe na tumosa hamuonagi tag zangu au ujue jana nilikua entertainment nimewaita kulikuwa kuna story kama mbili
shemela wako nani wewe jamanShemela anajilalamisha sana
jaman sijaona mpenzi wanguHivi wewe na tumosa hamuonagi tag zangu au ujue jana nilikua entertainment nimewaita kulikuwa kuna story kama mbili
ni wapi huko niende sasa hiviHivi wewe na tumosa hamuonagi tag zangu au ujue jana nilikua entertainment nimewaita kulikuwa kuna story kama mbili
Basi msubiri ila me nitakuacha ujueNimemis majungu yakeee
Nakuona kama unataka kukesha ujueKidogoo huku nikimalizia nachoangaliaa apa sebureni
Unaniacha na moneytalk ??Basi msubiri ila me nitakuacha ujue
hahahaaa nimeona asee, nikapita kimya kimya nisije kuaribu salaNiko poa kabisa ...leo sala ya wife umeonaa ??
Sijaweka nataka kuweka mda si mrefuNiko poa kabisa ...leo sala ya wife umeonaa ??