moneytalk
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 8,040
- 16,870
Yatawashindahao hao
Sitaki shemeji.. naogopa mimi sijawahi michezo hyo n mama kanikataza kaniambia nimtunzie mke wangu..
![]()
![]()
![]()
![]()
tunza kama inatunzwaa
Yaaan nimekosaa kifurushiiii chakeMtake radhi shemeji yako ujue
nataka mwenye mwanyaMwenye mwanya ili uvumbue nini![]()
halaf waweke picha humu ni fb eenh
Msamehe baba anguYaaan nimekosaa kifurushiiii chake
Ndo utakojoaa kwa kutumiaa puaaHuhuuuu hiyo itakuwa kazi ya chuma ulete sasa
Kaweke thread mmu au love connect watakuja pm utajichagulianataka mwenye mwanya
Ahsante mungu..Weee me niko single, afu sihitaji mpenzi kwa sasa
Teh teh teh..Jamani wazima nyie..
Naona mnatekana tu, ngoja namm nimteke money talk wanguu
Huyo anamfaa. Lakin tetra mpaka sasa tayar ana magoma mawili.Utahitaji kilazima tu bado mmoja anakuja utajichagulia anaitwa tetra
Ahsante shunieSafi maka jamaan karibu
Gentries huyo hawatawezana ujue mondray kila sehemu ana mwanamkeHuyo anamfaa. Lakin tetra mpaka sasa tayar ana magoma mawili.
Bora goma tumkabidhi gentries
TenaAhsante mungu..
Asante Mungu hiyo vipiiii makaAhsante mungu..
Si vibaya wewe na yeye ni kitu kimoja.Aliandikaa rafik yako