Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,414
Enyi wazao wa nyoka mwawezaje kunena mema mkiwa wabaya? Mana kinywa cha mtu huyanena yaujazayo moyo wake
Mtu mwema katika njema hutoa mema na mtu mbaya katika akiba mbaya hutoa mabaya![]()
MATHAYO 12:34-35
MUANGALIE NA MNAYONENA MDOMONI MDOMO HUUMBA MUWE NA ASUBUHI ILIYO NJEMA KWENU MBARIKIWW SANA![]()
![]()
Enyi wazao wa nyoka mwawezaje kunena mema mkiwa wabaya? Mana kinywa cha mtu huyanena yaujazayo moyo wake