Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,504
- 57,049
Labda kama anatumia account mbili.Kaandika fresh zen kamalizia kwa kuharibu et aneshiriki kuanzisha KF wkt huku hana ht post 1
.......................
Ukiona hivyo ujue Makapuku wanatukubali na tunatisha kuliko njaadawa ni kuukaushia tu uzi wake
Kwakweli makapuku tunatisha sana.Ukiona hivyo ujue Makapuku wanatukubali na tunatisha kuliko njaa
......................
Ht km ana multiple ID lkn mwongo tuLabda kama anatumia account mbili.
Sikujua kwamba jf kuna watu wanatafuta kick.
Njoo pm mkuuBrother vipi.
Poa brother.Njoo pm mkuu
Asane madam.Mi pia pale kwako nimepita
Pamoja sana dada wa mie.Pole. Samehe na sahau kisha songa mbele.
youngblood kazi kwako.Simtaki huyo youngblood
Pili kwetu mapacha wapo ila sio wengi, ndio maana nikasema mapacha kwetu ni wa shida (sijasema hatuna uwezo wa kuzaa mapacha)
Usijali dada'angu.Take it easy........ Next time usitoke nje ya mstari hata kama ni utani na kila kitu kitakuwa sawa
One love
Pamoja sana le prezdaa wangu.Si yameisha
Mbona unayakuza...Ndio ulikosea utani wetu umeishia huku tu au kwenye thread yenye "interest kuhusu Kapukuz"
Ww ni mwanaume potezea vitu vidogodogo km hivyo...wanaume hatususi
Mbona me nishakosea na kuomba msamaha mara 3 hapahapa na maisha yakaendelea? ina maana sikuwa na akili?
Yaliyopita yamepita sio kitu cha kuendelea kukijadili
Be OK
............
Wewe nipe password yako ntakuwa nakusaidia.The only Punje dah namis mavitu ya huku sema ndo ivo mambo mingiiiii
One LovePamoja sana le prezdaa wangu.
Huyu naye ameishiwa pumzi, hana lolote.....................................
JF members waliofanikisha walichotaka 2016.!
..........................................
Huyu jamaa mzushi eti kashiriki kuanzisha Makapuku Forum
Kick zinatafutwa kwa nguvu
........,......
Kapuku forum ni zaidi ya tamthilia ya Isidingo.Ht km ana multiple ID lkn mwongo tu
Mimi nilianzisha neno KAPUKU kwenye thread zangu zen mtu WA kwanza kuniunga mkono akawa Th Name halafu akaja Jimena ....tukaanzisha USWAHIBA tukawa tunapeana sapoti zen nikawa na wazo la kuleta hii thread lkn Sissya007 akaniita chemba tukawa na kina Ibra87 ..EMMYGUY & Nahrene..
Baada ya hapo thread ikatoka kesho yake
Hilo ndo chimbuko la Makapuku Forum
Ni fahari ya Makapuku wote
...............................
TOP 10 makapuku tishio JF
Wajue Great Sinkers wa JF !!
Underground vs Wakongwe wa JF
................................
Ni kweli kabisa kaka.One Love
Tumetoka mbali
................
Yule anatafuta umaarufu tu, sasa dawa yake ni kumpotezea, mi ndo kwanza nimemuona leo hata sijui katokea wapi?Ht km ana multiple ID lkn mwongo tu
Mimi nilianzisha neno KAPUKU kwenye thread zangu zen mtu WA kwanza kuniunga mkono akawa Th Name halafu akaja Jimena ....tukaanzisha USWAHIBA tukawa tunapeana sapoti zen nikawa na wazo la kuleta hii thread lkn Sissya007 akaniita chemba tukawa na kina Ibra87 ..EMMYGUY & Nahrene..
Baada ya hapo thread ikatoka kesho yake
Hilo ndo chimbuko la Makapuku Forum
Ni fahari ya Makapuku wote
...............................
TOP 10 makapuku tishio JF
Wajue Great Sinkers wa JF !!
Underground vs Wakongwe wa JF
................................
Natamani mods wafanye yao kwenye ule uzii....................................
JF members waliofanikisha walichotaka 2016.!
..........................................
Huyu jamaa mzushi eti kashiriki kuanzisha Makapuku Forum
Kick zinatafutwa kwa nguvu
........,......
Kabisa kabisadawa ni kuukaushia tu uzi wake