Makapuku Forum

Unitag na mimi
Ili mje kupewa ban wote
majuzi mmu kwenye uzi mmoja kuhusu kupenda I'd fake na avatar kuna mtu kasema napenda sana avatar za shunie lijitu lilipotokea likamquote shunie dume wewe nikamwambia ni kweli mkuu mm dume jinsia yangu si uliiona ngoja nikuitie huyu akwambie jinsia yangu nitakamtag baba d akaniambia kama zote I'd zako nani anajua nimecheka tu nikaachana nae
 
sikuona alafu tag mbona sionag
 
Hahahaa...

Pole kwa Masaibu hayo shem.

Mimi Mungu aniepushe nayo tuu...Though najua watu wa jf kuliko wanavyojielewa wao.

Hawanipi tatizo mimi.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…