Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Hii kitu imenishinda mimioyoooo kashata moja sh 100 unaletewa mpaka ulipo![]()
Mniungishee![]()
![]()
Hii kitu imenishinda mimioyoooo kashata moja sh 100 unaletewa mpaka ulipo![]()
Mniungishee![]()
![]()
Na mm napenda kahawa nisiwe mnafikiKahawa hata leo nimekunywa
Mwambieni sasa awawekeeNa mm napenda kahawa nisiwe mnafiki
Veeep umeanza na kufukua makaburi
Baba D unacheka nini jaman si mnapenda kahawa mana kashata mwenzie kahawa awawekee tu mkunywe
Kashata sijawah alafu mm kahawa namanisha unayoandaa wewe ....Baba D unacheka nini jaman si mnapenda kahawa mana kashata mwenzie kahawa awawekee tu mkunywe
Ni tamu kinomaaMmh..
Hii kitu sijawahi kula ..! How does it taste?

Oooh nikajua hizo za bara barani baba anguKashata sijawah alafu mm kahawa namanisha unayoandaa wewe ....
HapanaaaOooh nikajua hizo za bara barani baba angu
Asante husnaNi tamu kinomaa![]()
![]()
Kwani weee Wa wapi mpaka usijue ladha ya kashata?!Mmh..
Hii kitu sijawahi kula ..! How does it taste?

Nakuuzia kashata kahawa utaenda kutafuta huko mbele kwa mbeleNa kahawa vipii
Wewe ulijuaga utamu wa soseji kabla ya kuila?Kwani weee Wa wapi mpaka usijue ladha ya kashata?!![]()
![]()
Ila kashata ndio hujawahi kula?!!!!Kahawa hata leo nimekunywa
Mmh..Oooh nikajua hizo za bara barani baba angu
Mmh wee kila chakula kinakushinda he..!!! Unahitaji maombi ya "tb joshua"Hii kitu imenishinda mimi