Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,623
Wewe utakuwa mmasai wa kwanza kuingia jf, na sio msambaa shemelahuo ndio ukweli picha za kuiba hamna mtaniwekea nini
Wewe utakuwa mmasai wa kwanza kuingia jf, na sio msambaa shemela
me mmasai shemela nitake radhi na makabila ya watu jamaan![]()
![]()
me mmasai shemela nitake radhi na makabila ya watu jamaan
mengine sio ya watu, shemela buanaBac acposema hakutekwa inamcngziaatakwambiaje sasa wewe kama alitekwa
Hapana shemela jaman nakuwaje mmasai mimi jaman![]()
![]()
![]()
mengine sio ya watu, shemela buana
yaan ni ngumu kama kubadili dini yangu
Mfyuuuu kaaa hapo hapo huku unaibiwaBac acposema hakutekwa inamcngzia
Haya shemela wanguHapana shemela jaman nakuwaje mmasai mimi jamanyaan ni ngumu kama kubadili dini yangu
Shunie yuko tayari kufa kuliko kufungua pmMwambie afungue pm
Hahahaa..Yaan pm hata aongee baba d sifungui jaman hiyo ndio imeshafungwa haifunguliwi kabisa


Shunie yuko tayari kufa kuliko kufungua pm
Usitegemee atafungua pm
yaan T umeonge kweli kabisa hapa tu nimefunga kuna chizi anasema nimemtapeli hela ya nauli nikifungua jeee hapana jaman
Wewe endeleea kubisha tuu.. na pm usifungueWa sakayo sio hao
Kweli shemelaHahahaa..![]()
Hahaha...![]()
![]()
![]()
yaan T umeonge kweli kabisa hapa tu nimefunga kuna chizi anasema nimemtapeli hela ya nauli nikifungua jeee hapana jaman
Sawa shem acha tu nibishe jamaanWewe endeleea kubisha tuu.. na pm usifungue
Na huyo uliyemtapeliiii![]()
![]()
![]()
yaan T umeonge kweli kabisa hapa tu nimefunga kuna chizi anasema nimemtapeli hela ya nauli nikifungua jeee hapana jaman