Jaman basi kwangu haichezi shemelaIpo shemela
na mtoto anakuja kweli ujue kumbuka ya Sara na ibrahim
Sawa sawa binamu endelea na uanatanu wako ila juwa maneno yako hayaniumizi kabisa binamu yaan unavyoona unaharibu mwenzio ndio nazidi kumpenda baba d wangu...mimi ni mwanaTANU na moja ya ahadi zetu, ahadi ya kwanza kabisa ni 'Nitasema Kweli daima, fitna kwangu sio mwiko'
Katoto furani hivi kanaimba, mimi nimeiona
Binamu nitake radhiiiiiii hivi ningekua na hilo tatizo ungeniona hapa....nafikiri anatatizo la MB, tuendelee kumuombea
....ha ahhahaha, miaka ile walikuwa wanaishi miaka mingi kama idadi ya shanga za anko wangu 700, saaa hizi tunaishi miaka 70 tu na pweza sijui unga wa kongo mara paaap kitu kinapotea kabisa kinabakia kizizi tu
DadakeeeKama mndali nakuona mie
Za wewe jamaan kaka ake za kupoteaDadakeee
Sawa sawa binamu endelea na uanatanu wako ila juwa maneno yako hayaniumizi kabisa binamu yaan unavyoona unaharibu mwenzio ndio nazidi kumpenda baba d wangu
Shemeji za sikuDadakeee
Mi mzima Dada mjukumu yamenibana sanaZa wewe jamaan kaka ake za kupotea
Kweli shemela ujue ndio namfahamisha binamu yangu aelewe anajua ananiumiza kumbe ndio nazidi kumpenda mie mahaba lundoooshemela buana,
Pole kaka akee kikubwa uzimaMi mzima Dada mjukumu yamenibana sana
Njema shemeji za majukumu ya hapo penye bomoa bomoaShemeji za siku
Maua sami huyooNani huyo?!
Ni vile nikiiona mapigo ya roho yangu yanaongeza spidiiππKwahiyo upo in love na hiyo emoji au sijaelewa mimi
Jaman basi kwangu haichezi shemela
Ni vile nikiiona mapigo ya roho yangu yanaongeza spidiiππ
Duh, pole, aunty nadhani uko nchi ya kigeni ndo maana clip haipatikaniBinamu nitake radhiiiiiii hivi ningekua na hilo tatizo ungeniona hapa
Poleee jamaan tetraNi vile nikiiona mapigo ya roho yangu yanaongeza spidiiππ