Usiniambie gwajima kaangusha dude tena na ndege yake vipi imeshakuja na ule umeme aliosema ataleta nao vipiDude limeamshwa buanaa![]()
Kwema sana mkushiNjema shunie Kwema....
Baba D nakusalimia jamanSi walisema vilikuja bahat mbaya au ??
Kwa udhamini mnono wa Mapy violinist tuwe na siku njemaaa....
Shemela za asubuhiBaba D nakusalimia jaman
Safi shemela za wewe apoShemela za asubuhi
Ee Mungu wangu nalia mchana lakini hujibu na wakati wa usiku lakini sipati raha

Kumekuchaaaaaa
Kwamba sikulala nyumban au ???Kumekuchaaaaaa
Halaf nimekukuta sehem nimecheka.




kwa wenye misambwanda wanatoa harufu eti inawezekana kweli nimeogopa tu kukuquote kwenye Uzi wa watu
Shemela shululu nishamzoea mie maneno yake ujue baba d hanisumbui kabisaKwamba sikulala nyumban au ???
Unataka shululu na mwenzake wapatee cha kuongeaaa
♀♀♀♀♀♀♀