Usiniambie gwajima kaangusha dude tena na ndege yake vipi imeshakuja na ule umeme aliosema ataleta nao vipiDude limeamshwa buanaa [emoji134][emoji134]
Kwema sana mkushiNjema shunie Kwema....
Baba D nakusalimia jamanSi walisema vilikuja bahat mbaya au ??
Kwa udhamini mnono wa Mapy violinist tuwe na siku njemaaa....
Shemela za asubuhiBaba D nakusalimia jaman
Safi shemela za wewe apoShemela za asubuhi
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Safi shemela za wewe apo
Kumekuchaaaaaa[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Kwamba sikulala nyumban au ???Kumekuchaaaaaa
Halaf nimekukuta sehem nimecheka. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa wenye misambwanda wanatoa harufu eti inawezekana kweli nimeogopa tu kukuquote kwenye Uzi wa watu[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Shemela shululu nishamzoea mie maneno yake ujue baba d hanisumbui kabisaKwamba sikulala nyumban au ???
Unataka shululu na mwenzake wapatee cha kuongeaaa
♀♀♀♀♀♀♀