Makapuku Forum

Makapuku Forum

...nyie ndo waswahili kweli, yaani hadi leo box nikae nalo la nini sasa? Ukute wewe hadi maboksi ya viatu umeyatunza ndani? Huamini kuwa nilitumia hela ya anko kununua simu?
Ona hii emoji nakuongezea tena🙂🙂🙂
Hivi umejuaje namuona mama ashura anakuwekea viemoji anko wako amekataa hajakununulia simu usitake kunigombanisha nae binamu
 
Hivi umejuaje namuona mama ashura anakuwekea viemoji anko wako amekataa hajakununulia simu usitake kunigombanisha nae binamu


...ha hahahahahaha, yaani umeuuliza akubali? Kama umempa limbwata sawa, ila kama akili zake ziko timamu lazima akatae tu, na hivi hajakukosea siku nyingi. Anachotaka ni kunigombanisha mimi na wewe, ashindwe kabisa
 
...ha hahahahahaha, yaani umeuuliza akubali? Kama umempa limbwata sawa, ila kama akili zake ziko timamu lazima akatae tu, na hivi hajakukosea siku nyingi. Anachotaka ni kunigombanisha mimi na wewe, ashindwe kabisa
Binamu nimecheka sana aisee acha nilale tu eti na hivi hajakukosea siku nyingi bora anigombanishe na wewe tu binamu kuliko ugomvi wa Baba D
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom