Makapuku Forum

Makapuku Forum

67bf30cf7c59416ad7f001aa7731177e.jpg
 
.......,yeah! Was serious like heart attack! Ila you know kila mmoja na namna anavyoyaangalia masuala ya msingi!
Wakati moja humuita mbili, tatu huchelewa sana kumuita nne na tano, so bora kubaki na moja mbili tu.
Nimekupata na kukusoma vizuri najua kwenye mambo ya msingi kama hayo hukoseagiii ....sema wewe kiboko ebhu nambie kwanza ulimtoa wapii huyu msomalia ?

Make anaonekana kanona kweliii ..m.kizuri hautumii na ndugu yako
 
Ha ahahhahahaha, habari zangu kuzipata ni muhimu, cha msingi ni je umeziamini?
Wee kuziaminii inahitajii vitendo changamshii....ila wewe mbaya kumbe ulikuwa silias
.......,yeah! Was serious like heart attack! Ila you know kila mmoja na namna anavyoyaangalia masuala ya msingi!
Wakati moja humuita mbili, tatu huchelewa sana kumuita nne na tano, so bora kubaki na moja mbili tu.
Nimekupata na kukusoma vizuri najua kwenye mambo ya msingi kama hayo hukoseagiii ....sema wewe kiboko ebhu nambie kwanza ulimtoa wapii huyu msomalia ?

Make anaonekana kanona kweliii ..m.kizuri hautumii na ndugu yako
Nawasalimu tu mimi jamaan mtu na anko wake wa damu kabisa
 
Nimekupata na kukusoma vizuri najua kwenye mambo ya msingi kama hayo hukoseagiii ....sema wewe kiboko ebhu nambie kwanza ulimtoa wapii huyu msomalia ?

Make anaonekana kanona kweliii ..m.kizuri hautumii na ndugu yako

....usiseme kwa sauti , hujasikia wahamiaji haramu wameamliwa kurudishwa? Sasa hapa ndo namshawishi aseme kazaliwa Nzega
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom