Muziki Jumamosi: A very Long Wikend
U khali gani Kapuku mheshimika, jana ilikuwa mapumziko na sihitaji kukukumbusha kuwa leo na kesho ni mapumziko kwa weng na bahati nzuri mapumziko haya yamenigusa na mimi.
Asante kwa kuwepo hapa, asante kwa
shululu kutuletea magazeti,
lee empire mjomba wangu umeanza kwenda gym huku ukiwa na mpango wa kuongeza banda la chipsi na bia, hongera sana. Asante
Shunie kwa nukuu ya Bible, kipenzi changu
husna muba ujue wewe ndo chaguo langu la kwanza, la pili , la tatu, hakuna cha chaguo la nne nimwachia mzee wenger wa Arse
nne. asante
Tumosa ,
dingimtoto ,
dumejeuri muosha rungu ,
Clkey ,
Mondray , mtaasisi
Nyagei , siwezi kukusahau mzee wa 'busara'
mzeewakungoa ,
Tetramelyz . Ninyi mnalifanya jukwaa hili kuwa bora kabisa.
Msiseme nimewasahau
Sakayo ,
Bitoz ,
Jimena ,
Bailly5 ,
Madame S ,
demi ,
koncho77 ,
Rogie ,
BlessedHope , nawakumbuka sana.
Muziki sasa, kuna muziki unausikiliza na sio siri unapaswa kuusikiliza kiumakini maana ujumbe uliopo ndani unakufanya uione wikend yako kuwa ni ya kipekee kwa sababu tu wewe ni mtu spesho