Makapuku Forum

Makapuku Forum

Muziki: Wewe Ni nani Tusipokuwaangalia

Kuna siku huwa zinakuwa tofauti na siku nyingine, unaweza kukubali au suikubali na kukataa na kukubali kwako hakubadili kitu maana kila mmoja anabaki kuwa yeye kama yeye na si yeye kama wewe. Kila mmoja anapambana na hali yake tu. Ninakusalimia Kapuku mheshimika na unajua kabisa ninakuthamini sana kila wakati ninapokuwa ninatembelea hapa. Asante kwa kulifanya jukwaa hili kuwa sehemu nzuri kabisa.

Usijiulize kwanini maaana kwanini ni mwanzo wa ugomvi, mimi nimesema tu siku zinatofautiana na leo ni siku ya mwanzo kabisa wa mwezi, tarehe mosi na nzuri zaidi imeangukia kwenye sherehe za Maulid, usinilaumu kwa kutokukukaribisha kwenye sikukuu hii ya kuchinnja maana nimejitahidi sana nimechinja matembele na sikujua kuwa yana supu nzui kwa afya, asante mzee wa hapa kazi tu. Nimekaa Ijumaa leo na mwenye nyumba wangu tunagonga moja moja na kila mmoja anajilipia kiasi anachokunywa, na kodi ndo nimemkabidhi na simwangalii maana nataka nijue yeye ni nani nisipokuwa namwangalia
Muziki sasa, leo taratibu na country haijawahi kumuangasha mtu, kila ninapokosa kinachokupendeza basi muziki wa country ndo unaokuwa chaguo langu la kwanza maana huniangalii na hatuangaliani siku hii tunaposheherekea Eid

 
Muziki: Wewe Ni nani Tusipokuwaangalia

Kuna siku huwa zinakuwa tofauti na siku nyingine, unaweza kukubali au suikubali na kukataa na kukubali kwako hakubadili kitu maana kila mmoja anabaki kuwa yeye kama yeye na si yeye kama wewe. Kila mmoja anapambana na hali yake tu. Ninakusalimia Kapuku mheshimika na unajua kabisa ninakuthamini sana kila wakati ninapokuwa ninatembelea hapa. Asante kwa kulifanya jukwaa hili kuwa sehemu nzuri kabisa.

Usijiulize kwanini maaana kwanini ni mwanzo wa ugomvi, mimi nimesema tu siku zinatofautiana na leo ni siku ya mwanzo kabisa wa mwezi, tarehe mosi na nzuri zaidi imeangukia kwenye sherehe za Maulid, usinilaumu kwa kutokukukaribisha kwenye sikukuu hii ya kuchinnja maana nimejitahidi sana nimechinja matembele na sikujua kuwa yana supu nzui kwa afya, asante mzee wa hapa kazi tu. Nimekaa Ijumaa leo na mwenye nyumba wangu tunagonga moja moja na kila mmoja anajilipia kiasi anachokunywa, na kodi ndo nimemkabidhi na simwangalii maana nataka nijue yeye ni nani nisipokuwa namwangalia
Muziki sasa, leo taratibu na country haijawahi kumuangasha mtu, kila ninapokosa kinachokupendeza basi muziki wa country ndo unaokuwa chaguo langu la kwanza maana huniangalii na hatuangaliani siku hii tunaposheherekea Eid


Asante mpendwa
 
Muziki: Wewe Ni nani Tusipokuwaangalia

Kuna siku huwa zinakuwa tofauti na siku nyingine, unaweza kukubali au suikubali na kukataa na kukubali kwako hakubadili kitu maana kila mmoja anabaki kuwa yeye kama yeye na si yeye kama wewe. Kila mmoja anapambana na hali yake tu. Ninakusalimia Kapuku mheshimika na unajua kabisa ninakuthamini sana kila wakati ninapokuwa ninatembelea hapa. Asante kwa kulifanya jukwaa hili kuwa sehemu nzuri kabisa.

Usijiulize kwanini maaana kwanini ni mwanzo wa ugomvi, mimi nimesema tu siku zinatofautiana na leo ni siku ya mwanzo kabisa wa mwezi, tarehe mosi na nzuri zaidi imeangukia kwenye sherehe za Maulid, usinilaumu kwa kutokukukaribisha kwenye sikukuu hii ya kuchinnja maana nimejitahidi sana nimechinja matembele na sikujua kuwa yana supu nzui kwa afya, asante mzee wa hapa kazi tu. Nimekaa Ijumaa leo na mwenye nyumba wangu tunagonga moja moja na kila mmoja anajilipia kiasi anachokunywa, na kodi ndo nimemkabidhi na simwangalii maana nataka nijue yeye ni nani nisipokuwa namwangalia
Muziki sasa, leo taratibu na country haijawahi kumuangasha mtu, kila ninapokosa kinachokupendeza basi muziki wa country ndo unaokuwa chaguo langu la kwanza maana huniangalii na hatuangaliani siku hii tunaposheherekea Eid


Asante kwa music kiongozi Obe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom