Makapuku Forum

Maneno ya mkosaji tu...kila ukiniona moyo unakupasuka...acha nijilie raha mie...
Hakuna cha kula raha bali unaliwa raha, hakuna cha kula maisha bali maisha yanakukula.
Ukiona umuhimu wangu utarudi na usipoona kuna yupo atakayeona umuhim wangu, citasema mengi cha MSINGI NATULIZANA..WEWE LIWA NA DUNIA KWANZA
 
Hakuna cha kula raha bali unaliwa raha, hakuna cha kula maisha bali maisha yanakukula.
Ukiona umuhimu wangu utarudi na usipoona kuna yupo atakayeona umuhim wangu, citasema mengi cha MSINGI NATULIZANA..WEWE LIWA NA DUNIA KWANZA
Teh teh teh...naona unamalizia hasira za upweke hapa...,BTW hujambo mpenzi?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…