Makapuku Forum

Hapa nacheka tu kama mazuri vile

Sasa we utakuwa bado wifi yangu au kwasasa umekuwa mshikaji tu??
Mshkaji tu,sina mimba wala nin but huyo kakako nlikia namjaribu kama ana moyo wa kusamehe.Kumbe hana!!
Maishani tunakumbwaga na mazito mbeleni na msamaha ndo kila kitu ili safar had uzeej itimie.Kamwambie haya!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…