Rogie
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 7,600
- 6,721
![]()
![]()
![]()
![]()
By the way karibu makapuku
Sio mm ndio nikukaribishe wewe my dear?
![]()
![]()
![]()
![]()
By the way karibu makapuku
Mmmh!!!!!Sio mm ndio nikukaribishe wewe my dear?
WoyoMatumaini ya Liverpool kumsajili kiungo wa RB Leipzig Naby Keita yamefifia baada ya klabu hiyo kusisitiza kuwa haumuuzi mchezaji huyo. (Sky Sports)
Niajeeeeee
Mmmh!!!!!
Basi tenaHaya nikaribishe
Hapana bana me ni wa 55 kibibi gagula ujue![]()
![]()
we ni muhenga Wa 22 tu
Lunch timeNiajeeeeee

Yaaan hongera zake aisee mwanaume alivyokuwa mjeuri yule sahi kamvumilia tu na kashfa zake zote ili atulie aolewe masikini![]()
![]()
![]()
Tena dodo kwenye mchongoma
Ahahhah nimeuliza tu ili nijue ujueNimecheka kwa nguvu ujue![]()
![]()
![]()
![]()
Bhasi uliweeeLunch time![]()
Asanteeee sanaJE WAJUA?!
Je wajua punje za mahindi moja au mbili zilizokauka ukitafuna ni mbadala kwa wale wanaotumia magnesium kuondoa gesi au kilungulia "heart burn " jaribu uone na msaidie ndugu , jamaa na rafiki yako!!!!.
AiseeeeJE' WAJUA..Kuwa lita 25 za [HASHTAG]#MAJI[/HASHTAG] hutumika kutengeneza lita moja tu ya [HASHTAG]#BIA[/HASHTAG]!?![]()
Nyie jamaan mbona mnatufanyia hiviNipe hilo kojo uliloshindwa kulitaja![]()