Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,105
Poa sana, Niaje mkuu?mambo vipi kapuku'z?!
Poa sana, Niaje mkuu?mambo vipi kapuku'z?!
Niko bien dadake, vip kwa upande wako!Heshima yako paroko
Nipo pastor...... Nabarizi kidogo jamviniNakuona dadake
Shem una mapendo hadi bathiMorning honey,
Have a marvelous day
Love yu![]()
![]()
![]()
Nafrah kukuonaNipo pastor...... Nabarizi kidogo jamvini
Wew cheka na nyani uvune mabua, youngblood anakuzunguka, jana kamsumbua sana shem, lkn shem nae aligoma, akiimbishax3 cjuiDah! Shemeji mi sijapenda kuona hili unless useme kitu maana kwa taarifa iliyopo hapa ni wewe mwenyewe ulimruhusu Nahrene kwenda kijijina kwa ajili ya kusimamia uvunwaji wa mpunga..
Kijana habariMambo yako poa brother.
Uko vizuri?
Polepole utaelewa tu mkuu, hii ni isidingo ya jf huwezi kuielewa kwa harakabado mmeniacha jamam
ngoja ni ni pande haic wote tusonge msiniachePolepole utaelewa tu mkuu, hii ni isidingo ya jf huwezi kuielewa kwa haraka
Unaweza dhibitisha kauli yako hii mtumish, Kwanza amaizing my wife namwamini sana hivyo sinawasiwasi sana na still naamini youngblood tunaheshimiana sana..Wew cheka na nyani uvune mabua, youngblood anakuzunguka, jana kamsumbua sana shem, lkn shem nae aligoma, akiimbishax3 cjui
Poa poa, nakusubiringoja ni ni pande haic wote tusonge msiniache
Shemeji mimi nimeona isiwe tabu kila mtu ajue mambo yake mwenyewe.Dah! Shemeji mi sijapenda kuona hili unless useme kitu maana kwa taarifa iliyopo hapa ni wewe mwenyewe ulimruhusu Nahrene kwenda kijijina kwa ajili ya kusimamia uvunwaji wa mpunga..
Brother mbona unanichonganisha na shemeji yangu.Wew cheka na nyani uvune mabua, youngblood anakuzunguka, jana kamsumbua sana shem, lkn shem nae aligoma, akiimbishax3 cjui
Wahi usichelewengoja ni ni pande haic wote tusonge msiniache
Salama kabisa brother.Kijana habari
Dah..sawa wacha nitafanya bidii kubwa kuweza kumtafuta yeye mwenyewe...Shemeji mimi nimeona isiwe tabu kila mtu ajue mambo yake mwenyewe.
Kama vipi msubiri akirudi utamuuliza mwenyewe naogopa kumwaga mchele hapa.