Ibrahim Msuya
JF-Expert Member
- Dec 13, 2014
- 572
- 1,264
originally anasema kuna kitu kapost wapi twend tukaiyone kaka
Pamoja sana mkuu na lilikuwa jambo sahihi kwa wakati sahihi...Shukrani tele zikurudie na sijajuta kuwa na amaizingNashukuru Dada kwa kuliona hili. Huyu youngblood anafikiri lizziebettie nilimpata humu.
Kingine majungu tu yamemjaa sana. Atasubiri sana kwa maombi yake ya hovyo. Pia manuu na amaizing naikubali maana nilijitahidi kuwaunganisha mpaka mambo yakawa sawa.
Shemeji unamaanisha hili ama umepitiwa tu....Brother mimi na Nahrene tumeamua tutengane for good kila mtu ajue hamsini zake.
Dogo ametisha.hapo
swissme
Cc amazing.originally anasema kuna kitu kapost wapi twend tukaiyone kaka
Shemeji nimeyasema haya nikiwa na akili zangu timamu bila kushurutishwa na mtu yeyote.Shemeji unamaanisha hili ama umepitiwa tu....
jonax unajua kama una mtoto alafu unaona anapotea lazima umkanye kama asikii unamchapahapa ni makavu live bila chenga..
hatuwezi kuona unapotea na sisi tukakuacha
Pamoja sana mkuu...All the best katika mahusiano yako kaka
Mambo yako poa brother.mambo vipi kapuku'z?!
Nakuona dadakeNiko poa pia mkuu
Niko tayari shemeji.I see...Na uko tayar na Shemeji Nahrene asome hiki ulicho andika popote alipo?
Asante sana kakaDada kula like...

Shem amaizing. Naoma una shine tu mambo!Npo ndugu yangu na issues ziko poa sanaa
Habar ya wewe?
Zimenifikia mkuu, heshima yako ndgMkuu jambilo salam zangu zikufikie