Makapuku Forum

Makapuku Forum

Anko lee empire asante sana kwa hadithi ya Mr X (wenye zinazowatosha wao washazipeleka kwenye zile movie za X, sijui akili zingine zinatokaga wapi, shedede usifanye hivyo bhana).

Hivi kwenye hii shughuli ulichangia shingapi maana baadaye ulituhumiwa kuondoka na bibi harusi mtarajiwa

Obe ww utakuwa ndo huyo mwenye shati ku bwa
 
Anko lee empire asante sana kwa hadithi ya Mr X (wenye zinazowatosha wao washazipeleka kwenye zile movie za X, sijui akili zingine zinatokaga wapi, shedede usifanye hivyo bhana).

Hivi kwenye hii shughuli ulichangia shingapi maana baadaye ulituhumiwa kuondoka na bibi harusi mtarajiwa

Mi mbona sipo huko

Sema nimekuja late sana kwenye hadithi imeisha...

post using my macbook air using jamiiforums app
 
249c7694080a6973584831bd559fe995.jpg


Cc shedede
Duh! Naona jamaa yupo fully of control with apple....!!

post using my macbook air using jamiiforums app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom