4/ je wamjua mtu mwenyevidole vingi zaidi duniani??
Ni mtoto Akshat Saxena mwenye vidole 34 kwa ujumla wa vidole vyake vyote
Jarida la daily mail la terehe 26 July 2011 lilichapisha habari za mtoto huyu wa maajabu kuwahi kutokea
Ana vidole saba kila mkono na miongoni mwao hana vidole gumba kama tunavyozoea kuona mikono ya kawiada inavyokua na vidole kumi kila mguu
Anatokea Utah Pradesh huko Nothern India
View attachment 568391
Madame S