Makapuku Forum

Makapuku Forum

Habari za asubuhi wadau
Nafikiri mmeamka salama na mnaendelea na majukumu ya kutafuta mawe
f323eae9e22c29681b9606b138bbbca1.jpg
:
Hala Madrid
.....
 
1/ mwanaume mwenye maumbile makubwa zaidi duniani

Ni Robert Esquivel Cabrera mwenye umri wa miaka 54 raia wa Mexico, akitokea kijiji kinachojulikana kama Saltillo

Anamiliki umbile la sehem za siri lenye urefu wa 18.9 inches na uzito wa pound mbili

View attachment 568350

Uume wake umemsababishia matatizo kiafya na kutokana na uzito wenyewe jinsi ulivyo unahitaji mto wa kulalia kumuepushia adha na tabu nyakati za usiku

View attachment 568351

Madkatari nchini humo walithibitisha ni umbile halisi na sio udanganyifu wowote na kwa uthibitisho zaidi bwana Robert alipigwa x ray kama inavyoonekana hapa

View attachment 568353

Anasema kua hawezi kuoata lile tendo adhim tendo la ndoa wala mumuingilia mwanamke yeyote yule sababu ya unene wa umbile lake, alishajaribu mara mbili tu kukutana kimwili na wanawake tofauti lakini kati ya mara hizo mbili hakuna hata mara moja iliyowezekana

Mwanamke wa kwanza hakuweza mara baada ya kuona maumbile ya bwana huyu na wa pili yeye akijaribu kabisa lakini aslihindwa kuhimili kutokana na maumivu aliyokua akiyapata

View attachment 568360

Serikali ya Mexico inamtambua bwana Robert kama mlemavu na humsaidia mahitaji muhimu ya mwanadam, alishajaribu kushawishiwa kufanyia upasuaji wa kuuupunguza uume wake ili aweze kua na maumbile kawaida ni imwezeshe kufurahia tendo la ndoa lakini alikataa mara zote zlizofuatwa kuombwa juu ya swala hilo

Mwenyewe anasema kua ana furaha na maumbile yake na anajua hakuna kiumbe chochote chenye maumbile kama yake, anatamani awemo kwenye kitabu cha orodha za waliovunja rekodi za dunia al maarufu kama Guinness Book of Records lakini aliambiwa kwa rekodi yake hiyo haitambuliki

Hajakata tamaa bado anaamini atapata mwanamke mwenye maumbile ya kuhimili umbile lake na zaidi akiona hapati bas anashauku awe porn star

View attachment 568365

Najua ulikua hujui nami niko hapa kukujuza.

Madame S
Mwanamke gani atakaetaka kuumizwa aisee
 
3/ jana tulipata kumfaham mtu mwenye masharafa marefu zaidi duniani leo nakujuza mtu mwenye ndevu a.k.a mzuzu ndefu duniani

IMG_20170816_162300_477.JPG


Anaitwa Sarwan Singh, aishiye Canada, ndevu zake zina urefu wa 2.495 m (8 feets)

Zilipimwa huko Surrey, British Columbia, mnamo tarehe 8 September 2011

Ndevu zake hupimwa mara kwa mara ambapo tarehe 4 March 2010 zilipimwa na kua na urefu wa 7 ft na alipopimwa tena September 2011 huko United States of America zilionekana kurefuka zaidi

Anasema bila ndevu zangu, najihisi niko mtupu na najiona sio mimi bali ni mtu mwengine

Madame S
 
2/ je wamjua mtu mwenye mdomo mpana zaidi duniani?

View attachment 568368

Anaitwa bwana Francisco Domingo Joachim (a.k.a chiquinho) akitokea hukooo Sambizanga, Angola

Mdomo wake umevunja rekodi kwa kua na upana wa 17cm ulipopimwa huko Rome, Italy

Ni bwana kaka mdogo tu kiumri akiwa na miaka yake 20

Tarehe 18 March 2010 aliingia rasmi kwenye orodha za waliovunja rekodi cha Guiness Book of Records

View attachment 568369

Madame S
Domokaya
Sufuria la chooni

Hamorappa na Chibu hawaoni ndani

.....
 
1/ mwanaume mwenye maumbile makubwa zaidi duniani

Ni Robert Esquivel Cabrera mwenye umri wa miaka 54 raia wa Mexico, akitokea kijiji kinachojulikana kama Saltillo

Anamiliki umbile la sehem za siri lenye urefu wa 18.9 inches na uzito wa pound mbili

View attachment 568350

Uume wake umemsababishia matatizo kiafya na kutokana na uzito wenyewe jinsi ulivyo unahitaji mto wa kulalia kumuepushia adha na tabu nyakati za usiku

View attachment 568351

Madkatari nchini humo walithibitisha ni umbile halisi na sio udanganyifu wowote na kwa uthibitisho zaidi bwana Robert alipigwa x ray kama inavyoonekana hapa

View attachment 568353

Anasema kua hawezi kuoata lile tendo adhim tendo la ndoa wala mumuingilia mwanamke yeyote yule sababu ya unene wa umbile lake, alishajaribu mara mbili tu kukutana kimwili na wanawake tofauti lakini kati ya mara hizo mbili hakuna hata mara moja iliyowezekana

Mwanamke wa kwanza hakuweza mara baada ya kuona maumbile ya bwana huyu na wa pili yeye akijaribu kabisa lakini aslihindwa kuhimili kutokana na maumivu aliyokua akiyapata

View attachment 568360

Serikali ya Mexico inamtambua bwana Robert kama mlemavu na humsaidia mahitaji muhimu ya mwanadam, alishajaribu kushawishiwa kufanyia upasuaji wa kuuupunguza uume wake ili aweze kua na maumbile kawaida ni imwezeshe kufurahia tendo la ndoa lakini alikataa mara zote zlizofuatwa kuombwa juu ya swala hilo

Mwenyewe anasema kua ana furaha na maumbile yake na anajua hakuna kiumbe chochote chenye maumbile kama yake, anatamani awemo kwenye kitabu cha orodha za waliovunja rekodi za dunia al maarufu kama Guinness Book of Records lakini aliambiwa kwa rekodi yake hiyo haitambuliki

Hajakata tamaa bado anaamini atapata mwanamke mwenye maumbile ya kuhimili umbile lake na zaidi akiona hapati bas anashauku awe porn star

View attachment 568365

Najua ulikua hujui nami niko hapa kukujuza.

Madame S
Huyu labda apate mlemavu mwenzie
 
1/ mwanaume mwenye maumbile makubwa zaidi duniani

Ni Robert Esquivel Cabrera mwenye umri wa miaka 54 raia wa Mexico, akitokea kijiji kinachojulikana kama Saltillo

Anamiliki umbile la sehem za siri lenye urefu wa 18.9 inches na uzito wa pound mbili

View attachment 568350

Uume wake umemsababishia matatizo kiafya na kutokana na uzito wenyewe jinsi ulivyo unahitaji mto wa kulalia kumuepushia adha na tabu nyakati za usiku

View attachment 568351

Madkatari nchini humo walithibitisha ni umbile halisi na sio udanganyifu wowote na kwa uthibitisho zaidi bwana Robert alipigwa x ray kama inavyoonekana hapa

View attachment 568353

Anasema kua hawezi kuoata lile tendo adhim tendo la ndoa wala mumuingilia mwanamke yeyote yule sababu ya unene wa umbile lake, alishajaribu mara mbili tu kukutana kimwili na wanawake tofauti lakini kati ya mara hizo mbili hakuna hata mara moja iliyowezekana

Mwanamke wa kwanza hakuweza mara baada ya kuona maumbile ya bwana huyu na wa pili yeye akijaribu kabisa lakini aslihindwa kuhimili kutokana na maumivu aliyokua akiyapata

View attachment 568360

Serikali ya Mexico inamtambua bwana Robert kama mlemavu na humsaidia mahitaji muhimu ya mwanadam, alishajaribu kushawishiwa kufanyia upasuaji wa kuuupunguza uume wake ili aweze kua na maumbile kawaida ni imwezeshe kufurahia tendo la ndoa lakini alikataa mara zote zlizofuatwa kuombwa juu ya swala hilo

Mwenyewe anasema kua ana furaha na maumbile yake na anajua hakuna kiumbe chochote chenye maumbile kama yake, anatamani awemo kwenye kitabu cha orodha za waliovunja rekodi za dunia al maarufu kama Guinness Book of Records lakini aliambiwa kwa rekodi yake hiyo haitambuliki

Hajakata tamaa bado anaamini atapata mwanamke mwenye maumbile ya kuhimili umbile lake na zaidi akiona hapati bas anashauku awe porn star

View attachment 568365

Najua ulikua hujui nami niko hapa kukujuza.

Madame S
Too much is harmful

Kikiwa kidogo sana shida
Kikiwa kikubea sana shida
Wastani ndio mpango

Shunie anapenda hiyo

.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom