Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Hamnaga viminiWooooooozaaaaaaa nipo mbele kabisa na kimini changu cha kitenge
Hamnaga viminiWooooooozaaaaaaa nipo mbele kabisa na kimini changu cha kitenge
Hahaha.... Leo Sipati picha ya huo mlaloo





hili pepo la kwenye ndizi tu lishindwe jamaan ujue ni ndizi na makande ndio nakuwa hivi nakula mara kumi kumi

Amri kuu aliyotoa Yesu kwa wanafunzi wake.. ni Upendo.Amen...
Upendo ni nguzo mojawapo katika kuijenga familia imara
HallelujahAmeeeen hili ndio la muhimu kuliko yote jaman

Huna sababu ya kuomba msamaha mjukuu wangu... Mimi babu yako ujueHapana babu jaman nisamehe tu
AsanteeeKunywa shem wangu mie ata chupa tatu muhudumu aje achukue elf 10 yake
Akikujibu niiteHana asili yoyote ya huko kwa nini babu
Basi akunywe beeereeee tu au dompoMma inamzubaisha ujue
Ooh kumbe msalimie trump T jamanNaipenda Tz tuu...
Ila namiss Tz pia..
Hahahaujue dada kwa nini babu nimemuuliza vile alivyosema nani sijui aliichezea coastal ya tanga ndio mana nikamuuliza vile
Hahahanakikumbuka kilishaenda kusafishwa imekuja yenyewe
Asante mjukuu mwee wanguCjambo pole na majukumu
Bora huyu kiasiSasa humtaki T huyu unataka T yule wa beereeeee eenh
Naona upo kwenye ubora wakoSera yangu sipendi kudanganya wala kudanganywa... Uongo haujawahi kumuacha mtu salama.
AiseeeeNaipenda Tz tuu...
Ila namiss Tz pia..
Sawaaaa babu ShunieYaaani ninaweza kudanganya balaa.... Wakati nikiwa shuleni nilikuwa... Lakini nafsi inachukia kudanganya na kudanganywa.
2/United States![]()
![]()
![]()
Yule mtu anayependa sifa humu Jf kwa kujitangaza yupo Marekani nasikia anabeba boksi na kufagia kwenye kiwanda kimoja huko Detroit cha kutengeza bikini....ni mchapakazi
Wakati Donald Trump akija na sera uchwara ya kubana matumizi basi uelewe ataviathiri viwanda huko
Hawa jamaa hujitengenezea wenyewe hadi vifaa vya kijeshi kisha ututangazia vina thamani ya mabilioni ya shilingi !!
Wanarekani wapo vizuri suala la viwanda kivitendo zaidi
Wafanyakazi hulipwa/hugharimu wasyani wa USD 37 kwa saa
Uzalishaji viwandani huchangia USD 1,800 Bilioni sawa na 12% ya GDP
Corporate tax ni ya 40%
........

Kwa nini niko na bahati hivi mieeAweze kula tuu jamaani...
I love her
Kwakweli me nitavaa kimini msinitanie aiseeHamnaga vimini