Makapuku Forum

Makapuku Forum

IMG_20170815_080455_794.JPG


Madame S
 
10/Singapore
a3a8a1ff1f8525ab471e95032e83a275.jpg
60f04d3f11f7a587c01953e7552261d1.jpg
07b5e8ef11e18ec487d026fe8964d436.jpg

Inapatikana huko barani Asia
Wanafanana na Wachina na Wakorea kimuonekano yaani wafupi pia wana macho madogo kama matundu ya sindano
Hii nchi ipo vizuri kwenye suala la viwanda kuanzia vya kielektroniki.nguo,viatu na vikorokoro kibao ila bidhaa zao kama za Wachina tu zimejaa ujanja ujanja tu wanaweza hata kukuuzia nondp ya plastiki....hivyo hawaaminiki hawa
Wafanyakazi kwenye viwanda wanalipwa wastani wa USD 25 kwa saa
Viwanda vya uzalishaji bidhaa nchini Singapore hulipa kodi ya moja kwa moja corporate tax ya 17% wakati huku kwetu akina Dangote wanasamehewa tu kodi eti ni wawekezaji

Kwa nwaka huchangia mapato ya USD Bilioni 50 ambayo ni sawa na 18% ya GDP ya Singapore
............
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom