Asante binamu yangu jamanHali ya hewa unahitaji chai, au blanket chapa mwili na godoro tempoofugod. Ukiyakosa yote burudika na sweet reggae
Sivai shemela napambana na hali yangu jaman mbona mnapenda nivae sweaterInabidi uvae sweta sasa![]()
![]()
![]()
shemela
Aisee..Woyooooooooooo watu na bae zao
Hapana binamu mbezi huku sio mjini sana ila sijakuelewa tu ulivyomaanisha....ni maeneo tengefu.
Huwa unafuatilia taarifa za hali ya hewa? Au unakaa mjini sana nikwambie maeneo korofi
Kwahiyo Bitoz sisi mabonge ndio ukimaanisha hatubebeki au inakuaje jaman msitufanyie hivyoBora kimbaumbauX 100 kuliko bonenyanya
Kiafya unene ni tatizo
Mimi pia ni shabiki wa wanawake wembamba ilimradi awe na kamlima tu
Mtu haliwi nyama
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
......
Hahaha...Binamu naomba nyimbo jaman na hii hali ya hewa inichangamshe


Hali ya hewa unahitaji chai, au blanket chapa mwili na godoro tempoofugod. Ukiyakosa yote burudika na sweet reggae