Makapuku Forum

Morng to u ndugu zangu, mko poa, ntapotea kwa week km 3 hadi 4 hv, tuombeane uzima na uhai tu, nikiibuka nadhan ntakuwa nimeibukia tabora trascend ntakuchek broo nikiwa huko nawatakia kila la kheri, afya, uzima, baraka zake muumba, na mfanikiwe katika mihangaiko yenu.. nawapenda wooote..

Tycoon MAKAVELI Jr.
 
Uwe na safari njema
 
Afadhali wewe mtekaji wako amekupa taarifa na Muda ambao utakuwa chini ya ulinzi.... Wengine wanapotea tu.
 
Miss u mnooooo binamu yangu kivuruge husna ameshakuacha binamu bitoz anammiliki mama mchuchu anakusalimia sanaaaaaa
Nakuonaa mwenyewe unajitahjdi kunigombanisha na my love

Aisee mpendwa wangu obe mi siwezi kukuacha kabisaa hawa ni wafitini wasokutakia mema

I love you ineed you and I miss you a lot

 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…