Inaendelea. ....
Zai mbona unaonekana kujifikiria mke wangu! twende basi tutaongea vizuri."
aling'ang'aniza Mwinchande mara baada ya kuona Zai amejibu ile salamu kinyonge na alipoombwa waingie kwenye gari alionekana kusita huku akifikiria kitu.
Alichowazia zaidi ni vipi akubali aondoke na Mwinchande wakati tayari kuna Hussein anamsubiri nyumbani?
Aliamua kutunga uongo ili amuepuke Mwinchande siku hiyo lakini bado uongo wa Zai haukuwa na nguvu mbele ya Mwinchande.
"Nakuomba mume wangu nakuomba sana, mimi ni wako na Mungu ametukutanisha tena ila hebu angalia ni ghafra sana tumekutana ni muhimu uniache kwanza niende kwa huyu mama, harafu nikishaaga na kuweka mambo sawa basi Kesho tutakutana mume wanguuu"
alizidi kuomba Zai na safari hii kidogo Mwinchande alilegeza uzi.
"sawa basi kwa kuwa kesho jioni tutakuwa na safari inabidi unitafute mapema asubuhi nitakuelekeza wapi nilipo tuweke mipangon ya maisha yetu sawa mke wangu."
aliongea Mwinchande na kumkabidhi namba za simu Zai sambamba na Elfu hamsini za nauli ya daladala hiyo kesho na hapo ndipo alipofaulu Zai kumkwepa Mwinchande siku hiyo lakini alijua kuwa kesho ana kibalua chengine kigumu jinsi ya kuondoka hiyo asubuhi kukutana na Mwinchande.
Moyo wake ulijikuta unakuwa na hofu kila anapomfikiria Mwinchande kuliko Hussein na ikumbukwe hiyo yote ni kwa sababu ya dawa aliyotengenezewa Mwinchande juu yake Zainab.
Na kweli siku ya pili yake aliwasiliana na Mwinchande kwa siri na kukutana nae maeneo ya hoteli ya Kilimanjaro.
Kabla hajatoka Zai alifanya utundu wa kuchanganya ndimu (...) kuji(........) kwenye(...........) mwishoe alifanikiwa kujitengenezea bikra ya uongo ili iwe silaha yake kwa mumewe Mwinchande kwani alijua lazima watapokutana atataka ahakikishe kama kweli hajamsariti na kulingana na mila za kwao mwanamke aliyekuwa si bikra hafai kuolewa na ndio kigezo cha wazee wengi kuwaoza mabint zao mapema ili wasije watia aibu hapo baadae.
Na kweli alichokifikiria Zai ndicho kilichotokea kwani pindi tu Mwinchande alipokuwa na Zai chumbani alianza kumdadisi.
"Mke wangu wewe ni mzuri sana tena sana, hivi hujashawishika kweli?!!"
aliuliza Mwinchande huku akimshika sehemu za paja Zai aliyekuwa anajifanya bado mtoto.
"Aiii, Jamaani ina maana huniamini? Mi bado nipo kama ulivyoaniacha mume wangu nimejilinda sana kukusubiri."
alijibu kwa kudeka Zai na kuzidi kumpa matamanio Mwinchande.
"Kweli?!"
"Kweli mume wangu."
"Basi acha nihakikishe kabla sijasafiri leo."
aliongea Mwinchande huku akizidi kumpapasa Zai
"aaagh, jamaaani mi naogopaaa."
alizidi kudanganya Zai na kumfanya Mwinchande aanze kutumia nguvu ambapo ukweli walisumbuana sana huku Zai akibana miguu na kurusha mateke lakini kutokana na mbinu alizokuwa nazo Mwinchande ukijumlisha na hamu ya tunda, mwishowe alifauru kumsongomeka dungio lake alilolijaza mate ya kutosha ili iwe rahisi kumuingilia na ndipo Zai alipopiga kelele ndani ya kile chumba kama amekanyaga mwiba kwenye kidonda cha unyayoni na kumfanya Mwinchande achomoe taratibu gunguso lake ambalo lilibahatika kuingia kidogo na kutokana na hamu iliyochochewa na usumbufu alioupata alijikuta Mwinchande akifika kilele palepale alipoanza kulirudisha nyuma kwaajili ya kulichomoa
"Ooooooooghh Shiit.."
Aliugulia kwa mautamu Mwinchande pindi alipokuwa anajitua mzigo wa nye* na alipoitoa kabisa aliamini kwa kuona kweli damu zimetapakaa kwenye dunguaji lake na kufurahia moyoni kwa kuweza kumtoa katika utoto mkewe yeye mwenyewe hali iliyomfanya aamini kweli Zai ni mwanamke wa kipekee.
Kazi ilibaki kum bembeleza Zai aliyekuwa analalamika kuhisi maumivu makali sehemu zake huku akilaani mapenzi kumbe yanaumiza vile na kuzidi kuziteka hisia za Mwinchande kuamini kuwa kweli Zai alikuwa mtoto sana.
Ilibidi Mwinchande amuachie kiasi kikubwa cha pesa Zai na kumtaka afanye mpango wa kurudi Arusha ili akamchukue rasmi kwa utaratibu na baraka za bibi waweze kuwa pamoja.
Nae Zai alikubali kabisa na akilini aliona mchezo aliouanzisha anaweza kuumaliza bila tatizo japo aliuanzisha bila kujua ataumalizaje.
* * * * *
Siku zilienda kwa mara ya kwanza Zai aliweza kumsariti mumewe Hussein bila kuwaza kama itafika siku atamfanyia hivyo Hussein.
Na siku ambayo Zai anakutana na Mwinchande pale hotelini alikuwa tayari ana Mimba changa ya wiki tatu hali iliyomfanya baada ya kupita wiki ambapo ndio alikuwa anaingia mwezini alishangaa kuona amepitiliza na kuamua kwenda kupima kimya kimya kwanza akiwa na kigezo kikubwa cha kutoka nyumbani ni kwenda kuangalia ujenzi kigamboni.
Alipima na kugundulika kuwa na mimba ya Mwezi mmoja na alipopiga mahesabu aligundua kwa asilimia zote mia mimba ni ya mumewe Hussein lakini aliwaza itakuwaje Mwinchande atapokuja kugundua kuwa yeye ni mjamzito?
Na je atawezaje kuishi na wanaume wawili kwa wakati mmoja?
("Aaagh! Mungu atanisaidia siwezi kutoa hii Mimba, Mwinchande hatoweza kugundua kitu namvutia pumzi wiki tatu namwambia ninavyojisikia na Hussein ananiamini sana nitamuomba ruhusa ya kwenda kijijini nikafanyiwe dawa ili Mimba ikue salama na nitatumia muda huo kukutana na Mwinchande ili aniamini zaidi tutafika kwa bibi... aaagh, nitampanga tu bibi atanielewa... Nikishampelekea sukari na mkate hatokuwa na neno na uzee ule. Mchezo mdogo tu mwishoe nitajua yupi bora nimfate. mh! ila wananishanganya.. lakini acha nitumie akili za ziada za kuzaliwa naamini kila kiru kitakuwa sawa.")
Aliwaza na kujiambia akilini mwake Zainab mara baada ya kujigundua ni mja mzito.
Mbali ya kuwa mcha Mungu wa kusali, mwenye kupenda kujisitiri, mkwepa vishawishi, mpole, mtaratibu, ana roho nzuri, mkalimu.... lakini bado alisahau kuwa yeye ni mwanamke na Mungu amemuumba kuwa mtu wa pili Duniani baada ya mwanaume.
Alijisahau kuwa upeo wake wa kufikiri na utendaji hasa juu ya maswala yajayo umewekewa ukumbi finyu tofauti na mwanaume.
Alisahau kuwa mwanamke ubongo wake hucharge taratibu sana kuliko mwanaume hasa katika maamuzi ya haraka na magumu.
Laiti angejua maamuzi aliyokuwa anayafanya siku ile aliyokutana na Mwinchande yangekuja kuleta balaa kubwa baadae, basi angekubali alaumiwe mwenyewe tu siku ile na aachwe na Mwinchande kwa maneno ya kashfa ambayo yangemuumiza kwa siku kadhaa lakini baadae maisha yangeendelea na kila kitu kingebaki hadithi.
Lakini aliogopa lawama Zai.
Aliogopa kuonekana mwanamke aliyekosa uvumilivu na kumsariti mtu ambae tayari alikuwa mumewe, pia aliona kama ataenda kinyume na Mwinchande anaweza kuwa ameenda kinyume na matakwa ya wazazi wake.
Lakini alisahau kujiuliza, mbona alishamsariti Mwinchande na kuolewa na Hussein? na mbona sasa amemsariti na Hussein? japo alijiona yuko sawa kwa upeo wake lakini Zainab hakuwa sawa kabisa na kadri siku zilivyozidi kwenda mbele alijikuta anazidi kutengeneza bomu hatari zaidi ya Nyuklia asilojua hata jinsi ya kulitegua.
Akiwa safarini Mwinchande ambae alikuwa anamuendeesha Kamanda mkuu mpya wa Jeshi la polisi nchini ambae pia aliwahi kuwa mkuu wake wa kituo alichoanzia kazi pale Kibaha mkoa wa Pwani aliyeitwa Cyprian Ng'umbilwa.
Tabia za Cyprian kupenda sana wanawake zilikuwa zinamkera sana Mwinchande lakini alishindwa jinsi ya kufanya na hata hiyo safari waliyokuwa wanasafiri siku hiyo majira ya jioni wakienda jijini Arusha haikuwa kwa niaba ya kazi ama ziara yoyote zaidi alikuwa anampeleka kwa kimada wake tuu.
Na hiyo ilikuwa ni safari ya tatu ya kuunganisha juu kwa juu mara baada ya kutokea Mwanza, Shinyanga kulipokuwa na kikao maalum cha makamanda wa polisi na sasa badala ya kurudi Dar Cyplian aliamuru msafara wote utangulie na yeye kuondoka na Kiraia na Mwinchande ambae alikuwa anaaminiwa sana kutokana na uwezo alioupata huko Israel na alipewa jukumu la kumuendeesha Kamanda mkuu wa jeshi na kufundisha makamanda mbinu maalum za nadharia alizozipata huko Israel japo yeye alikuwa zaidi kwa kujua na vitendo.
Mawazo yake zaidi Mwinchande yalikuwa kwa Zai ambae siku hiyo mapema alimpigia simu kumjuza kuwa yeye ni mjamzito na alinasa hiyo mimba siku ileile ya kwanza walipokutana vilevile keshokutwa yake alikuwa anarudi rasmi Arusha.
Mwinchande alifurahi awali akijua wakiunganisha Dar mapema angemuwahi mkewe lakini kitendo cha mkuu wake kilimfanya aendeeeshe gari huku akiwa na hasira sana moyoni mwake lakini ilikuwa ngumu mno kubaini usoni mwake.
Baada ya siku mbili za utumwa jijini Arusha siku hiyo ambayo Mwinchande mapema aliwasiliana na mkewe aliyemuelekeza kuwa yuko safarini na hiyo siku ndipo ilipotakiwa sasa kurejea na Kamanda Cyplian jijini Dar lakini Mwinchande aliweza kufanya ujanja ujanja hadi wakachelewa na Zai alipofika stand na kumpigia simu Mwinchande aliyeenda na gari akiwa na bosi wake wakati wakiwa tayari kuondoka na hapo ndipo macho ya Cyprian yalipoiona sura nzuri ya Zainab na kujikuta anaapa nafsini mwake kumpata pasi na kujua ni mke wa Mwinchande.
"Yule mwanamke uliyesimama nae pale ni nani?"
aliuliza Cyprian baada ya Mwinchande kurudi garini.
"Aliwahi kuwa mwanafunzi mwenzangu."
"Basi vizuri naomba ufanye chini juu nimpate, hakika nitaoa kabisa hahaaaa"
aliongea huku akicheka Cyprian bila kujua anatonesha kidonda kisichoguswa na hapo ndipo kukaanza tatizo mara baada ya Cyprian kuamua kushuka mwenyewe kumfata Zai kuongea nae ambae alikuwa amesimama akingojea gari ya kwenda kijijini kwao ifike mara baada ya kuongea na Mwinchande.
("Huyu mkuu ananitaka ubaya sasa... Anatafuta kifo")
aliongea moyoni kwa hasira Mwinchande pindi alipokuwa anamuangalia Cyprian akimsemesha Zai na baada ya muda alishangaa kuona Zai ameamua kuchukua taxi kuondoka baada ya kuona ushawishi wa Cyprian unazidi.
"sasa Mwinchande yule bint inaonekana amekuzoea sana wewe na mimi hafahamu kama ni mtu mkubwa hivyo hakikisha tukifika Dar unafanya utaratibu wa gharama yoyote nimpate."
"sawa mkuu."
alijibu Mwinchande na kuwasha gari kuondoka eneo lile huku moyoni akijiapiza endapo kama mkuu wake akiekea mkazo suala lile anaweza hata kumuua.
Alishindwa kumwambia kuwa yule mkewe kwa kuwa hakukuwahi kuwa statement yoyote toka anapokelewa kuwa ana mke na yule alikuwa ndie mkuu wake toka anakuwa polisi hivyo alimjua vizuri japo hakuijua siri yake na Zai.
Baada ya siku kadhaa kupita Mwinchande alipoona usumbufu unazidi kwa bosi wake siku hiyo aliamua kumchana ukweli bila kujali ukuu wake wala nini.
"Sikia kiongozi, ujue nimekuvumilia sana lakini naona bado unakazania sasa nataka ujue yule mwanamke nina mipango nae tayari."
aliwaka Mwinchande hadi Cyprian alishangaa na hapo walijikuta wanatengeneza bifu la kijinga na Cyprian alikosa ujanja jinsi ya kumuadhibu Mwinchande zaidi alimtafutia safari kimakusudi kupitia wazili wa mambo ya ndani na kulichomeka jina la Mwinchande awe miongoni mwa maafsa wataoenda kwenye kozi nyengine ya ngazi ya juu ya kipolisi nchini India, lakini nia na madhumuni ya Cyprian ni kumkomoa Mwinchande wakose wote akisahau kuwa upande mwengine anamtengenezea nafasi ya kuheshimika zaidi.
* * * * *
Kwa upande wa Hussein hakuona kazi wala ajizi kumuacha mkewe aliyempenda na kumuamini vilivyo kuwa aende Arusha kwao kwa safari ya mwezi mmoja kutengenezewa dawa juu ya mimba aliyokuwa nayo kwa kuhofia mambo ya wanga na wachawi.
Hakuwahi kuwaza wala kufikiria kama kuna mchezo wowote unachezwa nyuma ya pazia na hata Zai alipofika kijijini alimlewesha maneno bibiiake na kwa bahati mbaya yule Ustaadh alikuta amefariki ambae alifikiria kuongea nae ampe msaada wa kusolve tatizo lake alilolianzisha na hivyo baada ya kumkosa tena Ostaadh wake yule hakutaka tena mtu mwengine ajue suala lake nakutokana na bibi kuwa mzee sana alikosa amri kwa kile alichokuwa anamwambia mjukuu wake hasa kutokana na bibi kuanza kupoteza kumbukumbu kutokana na kuzeeka sana.
Baada ya mwezi ndipo Zai kweli alirudi kuishi na mume wake kipindi hiko Mwinchande walipata tena safari ya India ambapo jina lake lilichomekwa na Cypian kwaajili ya kumkomesha tu asifanikiwe kumpata yule bint bila kujua kuwa tayari alikuwa me wa Mwinchande kimila.
Miezi ilisonga na hatimae kwa mara nyengine Hussein alisafiri na Zai mpaka kijijini kwao na kumuacha kipindi akiwa na mimba ya miezi sita nae kurudi katika mihangaiko yake ya kujiandaa kwani alijua anakwenda kuwa baba siku si nyingi.
Lakini baada ya miezi tisa kutimu hadi Zai anajifungua kule kijijini Mwinchande ndie aliyekuwa wa kwanza kufika mara baada ya kutoroka mara moja India na kurudi Arusha ambako alikaa kijijinisiku mbili kwa shauku ya kumuona tu mtoto aliyeamini ni wake na yeye alikuwa mwanaume wa kwanza kumbeba mtoto yule huku akiwa na furaha mno.
"haaaaaa... babaangu amezaliwa.Babaangu amezaliwaa huyu ni Shaaban.. huyu ni Shaaban"
alizunguka na kufurahi Mwinchande huku akiwa amekibeba katoto kale kachanga na kumpa jina la Shaaban.
Hila iliyofanyika ni kwamba Hussein alicheleweshwa kupewa habari za kujifungua Zai kwa kuhofia asije kugongana n