Makapuku Forum

Makapuku Forum

Tumia mda kila unapoupata ...

Ni kweli ubize umechukua nafasi yake ila sitosahau ata kama mda huu nikipata time nikakusalimia kapuku muheshimiwa ...hope tu wazima ....
Tu wazima kabisa, vip pande hizo mme mwee, za siku mbili tatu hivi
 
Nitamshkuru Bwana kwa moyo wangu wote, nitayasimulia matendo yako yote ya ajabu

Nitafurahi na kukushangilia wewe, nitaliimba jina lako, wewe uliye juu

ZABURI 9:1-2

MBARIKIWE SANA MUWE NA ASUBUHI ILIYO NJEMA
Amen, Asante kwa neno la uzima
 
Kuna muda nilikuita uje kapuku... Ni kwamba naogopa tuu yaaani Sijui kwa nini, yawezekana ni Ugonjwa ujue... Nahisi kama kuna kitu naogopa lakinii sikielewi... Mwanzo nilidhani kawaida ila muda ulivyo zidi ndo nilikuwa napata hofu zaidi.. Nilisali mnoo lakinii wapi ikabidi nimtafute Doctor.....
Pole sana shemeji
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom