Makapuku Forum

Ahsante mdau
Hata home yupo left hander
Nakumbuka utotoni alikuwa anachezea bakora balaa kisa anakula na kusalimia kwa mkono wa kushoto
Matokeo yake akajilazimisha kutumia yote now anachanganya tu mokono na tumemzoea yaani mikono yake yote inapiga kazi
Ni faida !!!
.......
 
Hii noma
Ndo nasikia leo
.....
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…