Makapuku Forum

Makapuku Forum

9a41e22465442c2d3fff3870e4f38cd0.jpg
681785be88d81a610b45f815bf431ed6.jpg
Yanga ushindi daima......
 
Hiyo STU ni timu gani? Mwenzenu siijui ni staki shari au? Nimerudi makapuku forum kule kwingine wamenizengua na siasa zao za Rais kuwa waziri nikaona ngoja nisepe maana naweza changia nikapelekwa kuleeeee.
Ni timu ambayo haijawahi kufungwa na simba kwa zaidi ya tofauti y goli moja...
 
Karibu grandma,wajukuu tulikumisi sana.
Hahaha nilikuwa natumia dawa ya anti FJmiligne sasa nimeishiwa nimerudi kazi mtindo mmoja. Ila mhu Makapuku yanatisha!!! Post kibao tena za kukufanya ufunge tumbo na kitambaa ama sivyo utumbo utajifunga kwa kucheka.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom