makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,900
- 104,144
Siyawez hayo mie.. mahabat gan inst na fbMambo yapi sasa bila kuonana huko mainstagram kwenu na mafacebook
Ntakujuza baadae au leo hupiti njia ya home kwetu kwenda kwenu..!?Nijuze
Madame S
Teh teh teh.. wewe tena, wazaramo na dushe, mimba na vichachu..
Tycoon MAKAVELI Jr.
humu nishazionja 3Yupi.. sina ndugu mie humu.Wewe na nduguyo
Madame S
Nishasahau mieNdio useme wewe kama nn.
Tycoon MAKAVELI Jr.
Hhmm.. ngumu kunielewa mim kupitia maandish yangu..Through maandishi yako
Madame S
Wahenga wasio na msemohao ni zaidi ya wahenga
Madame S
Muangalia chaunabe sana.. kashindwa kumtuliza baba D anataka kukutulizia wewe baba mapacha wako ataweza?![]()
![]()
![]()
Asante shemela naona mama D hana nia nzuri na ndoa yngu
Kama yapi?Mmmhh una yako wewe
Kweli hii true love..Hii ndio true love sasa inaonesha wamevumiliana mengi![]()
Madame S