Makapuku Forum

Kuna pipo ilikuja kuzingua eti sijui uzi umepitwa replies so what?
Kitendo chenu cha kumuignore kimenofurahisha maana mmemnyesha ukomavu !!
Tuna kazi za kufanya bhana ila siyo kushindania vitu vya kipuuzi
Muwe na Usiku Mwema
.........
 
Ligi si lelemama

Tycoon MAKAVELI Jr.
Liver wana kipa Mjerumani wanamkalisha tu benchi
Simon Mignolet kila msimu anaigharimu timu kwa kufanya makosa ya kiboya hata leo kabla ya kufungwa goli la 3 kiboya alishafanya kosa la kuudodosha mpira na kidogo tu aharibu

Nitashangaa mechi ijayo akipangwa
.....
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…