Makapuku Forum

Makapuku Forum

dd07d29bbb60e0a7fd3fa661e95f4624.jpg
3a188d7ec3201b6139689a69b7a8eed7.jpg

Mchina na mzigua nani zaidi.... Ha ha ha ha ha
Zaid ni zaid..

sent using my nokia ya tochi
 
3/Ray Charles
542f261d5ed9d312bc35a48727533225.jpg
3bf8f03a22f027415e73ac236d1fb697.jpg
419352c01926d9d4bb9b14a10596b188.jpg

Alizaliwa mwaka 1930 na kufariki dunia mwaka 2004 akiwa na umri wa miaka 73
Huyu alikuwa ni mwanamuziki mahiri wa nyimbo za injili,Jazz na Pop alikuwa pia na uwezo mkubwa wa kuandika nyimbo
Jamaa licha ya kuwa kipofu ila alikuwa ni bishoo wa kutupwa ujanani kuanzia nywele ,mapigo ya pamba hadi miwani nyeusi alichagua tu za kibishoo
Kaimba nyimbo kibao kama vile
Seven Spanish Angels
Georgia On My Mind
I Can't Stop Loving You
Hit The Road ,Jack

Seven Spanish Angels
.....


Ray Charles, huwa napenda kusikiza nyimbo zake na Hit the Road Jack ndo naupenda. Namna anavyoimba kwa hisia utakumbuka sauti za kina Bitchuka, Dede na Nico Zengekala muache Chidumule ukakutane na Jerry Nashon, na ukirudi kwa kina Ray utafurahia sauti ya Anita Baker (sweet love) na Grover Washington Jr. Muziki unapambwa na mashairi matamu na gitaa lenye mchanganyiko wa biriani la kuokwa.

Jamie Fox kacheza filamu ya maisha yake, utaipenda. Huwa natamani nasi ajitokeze mmoja acheze filamu ya maisha ya mzee Nyunyusa


 
Ray Charles, huwa napenda kusikiza nyimbo zake na Hit the Road Jack ndo naupenda. Namna anavyoimba kwa hisia utakumbuka sauti za kina Bitchuka, Dede na Nico Zengekala muache Chidumule ukakutane na Jerry Nashon, na ukirudi kwa kina Ray utafurahia sauti ya Anita Baker (sweet love) na Grover Washington Jr. Muziki unapambwa na mashairi matamu na gitaa lenye mchanganyiko wa biriani la kuokwa.

Jamie Fox kacheza filamu ya maisha yake, utaipenda. Huwa natamani nasi ajitokeze mmoja acheze filamu ya maisha ya mzee Nyunyusa




Umenikosha saana ulipomtaja nico zengekala, shaban dede, hassan rehan bitchuk na cosmas chidumule.. nilichelewa kuzaliwa ila nyimbo zao nilitokea kuzipenda saana..

sent using my nokia ya tochi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom