makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,815
- 103,864
Nin Rilaxa watu tumeona kalikiti...relax bana
Madame S
sent using my nokia ya tochi
Nin Rilaxa watu tumeona kalikiti...relax bana
Madame S
Unajitoa ufahamu eeh.. rud nyuma uone ulipokuwa unaniombea kifo..Wapi nilikuombea ufe
Madame S
Hapo.. huon hapo unavyoniombea nivute.Moja lako moja la mkeo wenzio wafa weww wangojani?
Madame S
Tena wangoja kifo changu kwa hamu..Moja lako moja la mkeo wenzio wafa weww wangojani?
Madame S
Mhaya, mchaga bhana..![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
we haya
Madame S
KaribuNapita tu ndugu zangu nitakuja baadae
Teh teh teh.. ila wapo machiz timamu..Iulemavu mbaya ni wa akili
Sijawahi kumuona chizi/mwendawazimu/kichaa akifanya kitu chochote cha maana maishani
....
Zaid ni zaid..![]()
![]()
Mchina na mzigua nani zaidi.... Ha ha ha ha ha
Hahaa... nmempenda bure huyu bimkubwa..
3/Ray Charles![]()
![]()
![]()
Alizaliwa mwaka 1930 na kufariki dunia mwaka 2004 akiwa na umri wa miaka 73
Huyu alikuwa ni mwanamuziki mahiri wa nyimbo za injili,Jazz na Pop alikuwa pia na uwezo mkubwa wa kuandika nyimbo
Jamaa licha ya kuwa kipofu ila alikuwa ni bishoo wa kutupwa ujanani kuanzia nywele ,mapigo ya pamba hadi miwani nyeusi alichagua tu za kibishoo
Kaimba nyimbo kibao kama vile
Seven Spanish Angels
Georgia On My Mind
I Can't Stop Loving You
Hit The Road ,Jack
Seven Spanish Angels
.....
Arsenal 4 leicester 3
Clkey
Brother shululu
mukuye tugonge glass
Kwa hisan ya kolasinic a.k.a braza mbavu a.k.a bodybuilder.
sent using my nokia ya tochi
AhsanteKaribu
sent using my nokia ya tochi
Tuache tu na litimu letuu...ha hahaha Arsenal kama greda, linatamba mwanzoni wakati wa kuchonga barabara na tukishatia lami tu linabebwa kurudishwa lilikoanzia
Ray Charles, huwa napenda kusikiza nyimbo zake na Hit the Road Jack ndo naupenda. Namna anavyoimba kwa hisia utakumbuka sauti za kina Bitchuka, Dede na Nico Zengekala muache Chidumule ukakutane na Jerry Nashon, na ukirudi kwa kina Ray utafurahia sauti ya Anita Baker (sweet love) na Grover Washington Jr. Muziki unapambwa na mashairi matamu na gitaa lenye mchanganyiko wa biriani la kuokwa.
Jamie Fox kacheza filamu ya maisha yake, utaipenda. Huwa natamani nasi ajitokeze mmoja acheze filamu ya maisha ya mzee Nyunyusa
Safi sanaArsenal 4 leicester 3
Clkey
Brother shululu
mukuye tugonge glass
Kwa hisan ya kolasinic a.k.a braza mbavu a.k.a bodybuilder.
sent using my nokia ya tochi
Sijambo...
Hujambo..