Makapuku Forum

Makapuku Forum

5/Jeff Healey
4d282b69e103f7598444683370fa981b.jpg
91b6a8a1c235ace3766e4232cbaec110.jpg
4d1ef24cd96d57553a725b26ed1d987c.jpg

Alizaliwa mwaka 1966 na kufariki dunia mwaka 2008 akiwa na umri wa miaka 41
Huyu alikuwa ni raia wa Canada mwenye vipaji kibao licha ya ulemavu wake wa mcho
Alikuwa ni Mwimbaji,mpiga gitaa na mcheza filamu mahiri huko Canada na Marekani
8b10f12b597ea9390804a9ef5f9adaad.jpg
Huyu alipambana na hali yake licha ya kubezwa hadi kufanikiwa kuwa mtu mashuhuri kwenye filamu na muziki kiasi cha kupiga pesa ya maana kwa kuutumia ulemavu wake bila kupiga watu assist kama za bwana yule wa Jf na akafanikiwa kumiliki bendi
kibao cha Angel Eyes, ndio kilichotamba zaidi kiasi cha kukamata # 5 Billboard Hot 100 na kuuteka ulimwengu
Kaimba pia :
I Think I Love You Too Much
Stop Breaking Down
Hoochie Coochie Man
Like A Hurricane
......

 
4/Casey Harris
cb3c64d7b8d9b7c69dca1c8ddc7ded44.jpg
2915cf8955aad06f4a4ae5fd76d2cf13.jpg
0a86ed0b19d2405cbb6be5d9552b5612.jpg
Alizaliwa Januari 1987
Huyu naye alipambana na hali kuanzia utotoni hadi ujanani na kufanikiwa kutimiza ndoto zake za kimaisha
Ni memba wa kundi la X--Ambassadors
Hawa wanatamba sana na nyimbo zao kibao tu
....
 
3/Ray Charles
542f261d5ed9d312bc35a48727533225.jpg
3bf8f03a22f027415e73ac236d1fb697.jpg
419352c01926d9d4bb9b14a10596b188.jpg

Alizaliwa mwaka 1930 na kufariki dunia mwaka 2004 akiwa na umri wa miaka 73
Huyu alikuwa ni mwanamuziki mahiri wa nyimbo za injili,Jazz na Pop alikuwa pia na uwezo mkubwa wa kuandika nyimbo
Jamaa licha ya kuwa kipofu ila alikuwa ni bishoo wa kutupwa ujanani kuanzia nywele ,mapigo ya pamba hadi miwani nyeusi alichagua tu za kibishoo
Kaimba nyimbo kibao kama vile
Seven Spanish Angels
Georgia On My Mind
I Can't Stop Loving You
Hit The Road ,Jack

Seven Spanish Angels
.....
 
2/Andrea Bocelli
0246ce8ce03bf04dddd8159635539ef0.jpg
77082a3827a84149d740a947177f43d3.jpg
9cedfa196c31b9aa8d005c8992e00bd9.jpg

Alizaliwa Septemba 22 mwaka 1958
Huyu ni mwanamuziki mashuhuri wa Kitaluano
Sio tu mashuhuri jamaa ni mjanjamjanja anacheza hadi filamu licha ya kwamba haoni
ee614118eeb8a7c1808d95ea563309e7.jpg
kawahi kutajwa kwenye orodha ya 50 Most Beautiful People na jarida moja mashuhuri duniani
Muziki wake pia ameimba na mastaa kibao akiwemo Celine Dion
Pia kaimba
A Mio Padre
Because We Believe
.....
 
1/Stevie Wonder
e8728c7f999a44057b3372a1e90b8f11.jpg
6c623d9229eba6f4c9152ef6cf771ac5.jpg
83339fca46d02bb88e1107b50377a96c.jpg

Alizaliwa Mei 13 1950
Huyu wala sihitaji maneno mengi kumwelezea maana bado yupo masikioni na machoni kwa watu na muziki wake unajulikana vilivyo

.
.
.
.
.
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapori mada
Niwatakie Usiku Mwema
Tukutane Jumatatu
Mwisho
............
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom