Makapuku Forum

Makapuku Forum

IMG-20170812-WA0027.jpg
 
Ray Charles, huwa napenda kusikiza nyimbo zake na Hit the Road Jack ndo naupenda. Namna anavyoimba kwa hisia utakumbuka sauti za kina Bitchuka, Dede na Nico Zengekala muache Chidumule ukakutane na Jerry Nashon, na ukirudi kwa kina Ray utafurahia sauti ya Anita Baker (sweet love) na Grover Washington Jr. Muziki unapambwa na mashairi matamu na gitaa lenye mchanganyiko wa biriani la kuokwa.

Jamie Fox kacheza filamu ya maisha yake, utaipenda. Huwa natamani nasi ajitokeze mmoja acheze filamu ya maisha ya mzee Nyunyusa



25879ef4534cd07bb23405fa3e1c0605.jpg
Ahsante mdau
Hii movie nitajitahidi niitaute nafiliri ina kitu cha kuvutia
....
 
KUWA MWANGALIFU NA MANENO YAKO UTAMKAYO.....

MATHAYO 12

37. Kwa kuwa kwa maneno yako utahesabiwa haki, na kwa maneno yako utahukumiwa.


MITHALI 6

Basi umetegwa kwa maneno ya kinywa chako, Umekamatwa kwa maneno ya kinywa chako.


NAWATAKIA ASUBUHI NJEMA NA JUMAMOSI NJEMA MBARIKIWE SANA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom