Sikia bibie we sote watu wazima, haina haja ya kuuzunguruka mbuyu na maneno ya kihengo, cz hata nitumie misamiati gani dhumuni ni lile lile..
umeona mjumba wote huu, nmechoka kulala km mlingoti, daily nakuona unapita hapa, leo nmeona nivunje ukimya.. kila ukipita mie hoi, hicho kijungu, kasura kako kazur kalikopambwa na macho lain, pua ya kikabacholi na huto tulipsi twako, navurugwa kabisa bibie..
Anajua jinsi uchupa ulivyo hatar lazma aniombe kidume mwenzie.. aisee bora ukeshe unasolve caluculus kuliko kukesha chukuchuku, bila kiburudisho.
Akah...ha ahahaha, na Jeddah kakaa shetani anasubiri mtongozane
Kwa kweli hapa naona dalili zote za mjomba ibilis kunizid nguv, na mie nasema acha anizid nguv tu, ziwez nikamshinda mbele ya kimwasu kama huyu.....ha ahahaha, na Jeddah kakaa shetani anasubiri mtongozane
Yapi.....utasema mtoto kavaa pampasi
Jamani me napita nimesikia niwasalimie, endeleeni na yenu na mimi napambana na hali yangu
Kuelewa unaelewa ndio maana ukajua km mie nataka nin, ingekuwa nmekwambia nakupenda halafu ukanipmaandaz ningejua kweli hujaelewa..Loh! Naona wapoteza mudawo!! Hata sikuelewi, muone
Madame S
Teh teh teh.. karbu tena obe, wasalimie home.......utasema mtoto kavaa pampasi
Jamani me napita nimesikia niwasalimie, endeleeni na yenu na mimi napambana na hali yangu
Bailly5 njoo uone hukuKuelewa unaelewa ndio maana ukajua km mie nataka nin, ingekuwa nmekwambia nakupenda halafu ukanipmaandaz ningejua kweli hujaelewa..
Mkubwa wewe bwana sio mpaka uchezwe ngoma ndio ujielewe km umekuwa, hebu fanya maamuz ya kikubwa nikusifu..
Mjukuu au mjukuu mwee?Mzeewakungoa umzima lakini
Mjuu wako asubuhi amelalamika kuwa kwa nini jana ulitoa like tu, lakini Salam hukumpa
Ni ujumbe tu nimefikisha kutoka kwa mjukuu wako
Hawez kuwa na roho ya kike akaenda kuyabandika matangazo yetu posta bibie..anakuhadaa maana mume wangu anamjua huyo kua makini tu
Madame S
Wee madame hebu ukuje hapa, unaenda wapi sasa..nikalale
Madame S
Ndoa yako tunaivunja na nin sasa kuna mwenye shoka hapa...Yapintalala zangu soon msinivunjie ndoa bure
Madame S
Kulala mimi nilishaaga nikikutwa huku itakua kesi bure na sipemdi kumkera yule kiumbeWee madame hebu ukuje hapa, unaenda wapi sasa..
Kama kitanda hata kwangu kipo, au unaona mie nalalia pumba..nikalale
Madame S
Ndoa yako tunaivunja na nin sasa kuna mwenye shoka hapa...
Twende ndan basi tukazungumze bibie
Duh.. kumbe mke wa mwanangu bailly5 haya poa bibie, nenda kwa aman na bwana akutangulie..
Kama kitanda hata kwangu kipo, au unaona mie nalalia pumba..
Duh.. kumbe mke wa mwanangu bailly5 haya poa bibie, nenda kwa aman na bwana akutangulie..