Katika dondoo za bbc. ..
......Wakenya waendelea kusubiri kutangazwa matokeo ya uchaguzi mkuu.
.....Nao Muungano wa wafanyabiashara watoa wito kwa wakenya warejee kazini wakati wanasubiri matokeo
.....Na Polisi Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo yawashikilia wanaharakati waliojaribu kuipindua serikali ya nchi hiyo.