Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
Mi mzima tuU mzima husna
Asante twin

Karibu
Jaaammaanii mamy... Karibu mnoo na pole mnoo mpenzi, tulikumiss saana jamanii..
Kuna wapuuz wananisumbua nataka niwapunyue masikio..We ya non?!
Ndio usista duu.. ila hata huyo usikute hayuko proud na babu yake![]()
![]()
![]()
angeona noma et!
Nisaidiee ntakununulia ice cream za azam make wa dar mnazipenda sana



na chips za mayonaise
Ewaaaaa hapo sawaUmenielewaa vibaya....
Mm na wrwe mpaka ziwa victoria likauke
sitaki kusikia habari nyingine sasa
Dada huyooHahaha
Hapana shem, ni hv alikuwa anazungumzia miaka hyo kabla hajakupata ww eti alikuwa anao wa3, ila toka akupate ww katulia yaan umemuweza kichiz, hajui hata umempa nin kiukewli katulia tuli, anakupenda mfano wake hakuna
kweli wanaume mnateteana
Na kweli nakuonaTulia yataisha.. mimi ndio tycoon makaveli jr. El classico
Na utalala nao kweli ujueTamuuu usku unataka nilale na mto
Au nalala chini ujueUsiku mrefu ujueee
Shemela shululu ndio mambo yake atakupa akijaNipe cha arusha..