Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Umenielewaa vibaya....So nikiwa sipo ndio unaendelea na hizo mambo?
Mm na wrwe mpaka ziwa victoria likauke
Umenielewaa vibaya....So nikiwa sipo ndio unaendelea na hizo mambo?
HahahaNa meki machalee kundesa
Hapana shem, ni hv alikuwa anazungumzia miaka hyo kabla hajakupata ww eti alikuwa anao wa3, ila toka akupate ww katulia yaan umemuweza kichiz, hajui hata umempa nin kiukewli katulia tuli, anakupenda mfano wake hakunaKwahiyo shem unaona sawa anavyoongelea mambo ya wake 3 jaman nataka niwe naona tu anayoyaongelea baba d
Tulia yataisha.. mimi ndio tycoon makaveli jr. El classicoMkulu ongea machache
Kwani utageuka kuwa nyani..Tamuuu usku unataka nilale na mto
Diamond karanga si unatumia ??Hapana shem, ni hv alikuwa anazungumzia miaka hyo kabla hajakupata ww eti alikuwa anao wa3, ila toka akupate ww katulia yaan umemuweza kichiz, hajui hata umempa nin kiukewli katulia tuli, anakupenda mfano wake hakuna
HAHAA... hapo ndio unapofeli mdogo wanguNisaidiee ntakununulia ice cream za azam make wa dar mnazipenda sana
Usiku mrefu ujueeeKwani utageuka kuwa nyani..
Hii niliweka juz