Makapuku Forum

Makapuku Forum

Sio mbaya.... I know how much u mis our beloved mamy....bt sorry mawazo yasiende mbali

Baba D jaman mbona umejua kuniliza Nakupenda lee wangu Mungu ana makusudi yake kukuleta kwangu kwa kipindi hiki Mungu azidi kukuweka Baba D wangu [emoji8][emoji8]

Baba D tutaonana badae take care hun love u so much [emoji8]
 
Back
Top Bottom