Makapuku Forum

Makapuku Forum

Sasa ningekuwa na mke bosi wa un leo angekiona cha mtema kuni wao si wanaona choo muhimu kuliko sisi, ningemfungia toilet siku nzima, na kulala angelala huko huko, sasa sijui atakumbatia sinki la choo, akome na ajue umihimu wetu..

Sent using Jamii Forums mobile app
Utakubaliii ulale na mto ?? Au fanya hivi wakimbizi si wapo chini ya UN opoa mmoja alafu mtolee mfano
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom