Makapuku Forum

Namkubali mno huyu mwanasayansi
Na yule wanamwita galilei sijui kama sijakosea
 
8/William Shakespeare
Ni Mwingereza aliyezaliwa mwaka 1564 na kufariki dunia mwaka 1616
Hiyu mtu ana mchango mkubwa kwenye lugha ya Kiingereza...kama leo ukiongea kimombo na kujiona bonge la mjanha basi elewa tu lugha ni kama umeletewa tu na huyu mtu basi pinguza mbwembwe
Ndo mwasisi amwa misemo kama vile:
Food for the gods
It's all Greek to me
All that glitters is not gold
By love
All is well

N.k
Katajwa kwenye vitabu zaidi ya 1,000,000

Anafuatiliwa mara 7,500,000 kwa mwezi
......
 
Nafikiri hata yeye alichora kwa kukisia tu siku zote ukimsoma mtu hata kama hukuwai kumuona unaweza kumchora uhalisia wake

Mimi binafsi sura ya Yesu sijui na wala sidhani kama kuna alieiona
 
7/Adolf Hitler
Alizaliwa mwaka 1889 na kufariki/kujiua mwaka 1945 baada ya kushindwa WW2
Achana na vidikteta uchwara huyu ndio baba wa madikteta wote duniani...babe wa wababe
Achana na mabaya yake yote kama unaziona gari za Volkswagen basi elewa mwanzilishi ni yeye msana alitaka kila Mjerumani aendeshe gari badala ya baiskeli
Anskumbukwa kwa kunyanyasa na kuua mamilioni ya Wayahudi ila mimi nafikiri aliona mbali na kuhisi wataitawala dunia kutokana na IQ zao kubwa hata leo kila mtu anaona Wayahudi walivyo tishio kiuchumi,kiteknolojia hata kisiasa ni shida tupu
Alikuwa swahiba mkubwa wa Benito Mussolini na wote walikufa 1945 baada ya kushindwa vita
Ameandikwa kwenye vitabu zaidi ya 200,000

Kwa mwezi anatafutwa X 6,500,000
.......
 
Nafikiri hata yeye alichora kwa kukisia tu siku zote ukimsoma mtu hata kama hukuwai kumuona unaweza kumchora uhalisia wake

Mimi binafsi sura ya Yesu sijui na wala sidhani kama kuna alieiona
Huyo ni noma karibu ila kitu kikuu yupo alikuwa na vipaji vingi balaa

Kuhuau sura ya Yesu ni Fumbo la imani kila mtu aamini anachoamini ilimradi asivunje sheria

....
 
Alikuwa na roho mbaya kuwahi kutokea
 
6/Paul The Apostle of Tarsus Alizaliwa mwaka 5C na kufa 67 AD
Kwa Wakristo anajulikana kama Mtume Paulo na ndiye mtume aliyeipigania dini kwa kuweka miongozo na kanuni tunazozifuata hadi hii leo
Msishangae kwa Wakatoliki jina Paulo ni maarufu hata kwa Mapapa linapendwa zaidi
Alitoa barua/waraka 13 kwa wakristo wa madhebu yote hivyo makanisa yote yanamfahamu huyu mtu
Anajulikana kwa wakristo kama mtu wa kwanza kujua kuandika
Kaandikwa kwenye vitbu takribani 7,000,000

Kwa mwezi anatafuta takribani X 4,000,000
.................... ...
Zitaendelea baadaye
 
Naomba kujua kuhusu chia seeds
Hiki ni chakula ambacho kinaupa mwili wako nguvu na kina virutubisho vingi sana ambavyo hutopenda kuvikosa!
Ina protein nyingi kuliko mayai
Calcium kwa wingi
Iron kuliko spinach
Manganese
Potassium
Vitamin C
Vitamin B1,B2,B3
Omega 3 kwa wingi
Fiber

Faida zake mwilini ni pamoja na
Vegan,
Regulate blood sugar
Anti oxidants
Anti Cancer
Inasaidia kucontrol weight
Matatizo ya moyo
Lower cholesterol
Usagaji wa chakula tumboni
Acts as sleep Aid
Inaboost Libido
Inaupa mwili wako nguvu
Increase Stamina
Inasaidia kukontrol mzunguko wa hedhi
Inasaidia kubalance hormones
Naomba niishie hapa kwa leo mengine unaweza kugoogle vinginevyo tutakesha
 
Msomi wa wakati huo katika dini la Kiyahudi kabla hajaongoka na kuanza kumhubiri kristo
Alifia kifo dini huko roma
 
Zinapatikana wapi JJ
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…