Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
nambiee binamMjomba lee![]()
nambiee binamMjomba lee![]()
Muweke Mr x banaanyagei mziam na mpendwa wakoo?
EwaaaMubasharaa
Hiyo inaitwa arostooioobitoz heshima kwako ...kukosa jukwaaa siku moja daaaah nikiingia kama mwezi vile
Kweli kabisa nimewaza nimekosa jibu maana haiwezekani mkuu wa mkoa wa dar akaitwa jukwaani tanga na kuzungumziwa kama mtendaji mzuri na ruge awe kimbelembele kiasi hichoImesukwa hii ujue...
nipo mimiMwambie lee arudi, Kumbe anaonaga utamu kutania wenzake tuu.... Yeye akitaniwa ndukiii
Magu sio wa sport sport ujueKweli kabisa nimewaza nimekosa jibu maana haiwezekani mkuu wa mkoa wa dar akaitwa jukwaani tanga na kuzungumziwa kama mtendaji mzuri na ruge awe kimbelembele kiasi hicho
kitambii vipiiSi kwa unene ule jaman na mkewe anafurahi tu
Msihukumu msije mkahukumiwa ninyi

Ile siku ya T aliyopotea ghaflaHahaha
Unakumbuka ile juzi alivyonifanya lakinii...
Hapo ndo najua makonda ni zaidi ya tumwonavyo na kumzungumzia mengi najaribu kufuatilia matukio yake toka kipindi cha mkwele huyu makonda ni zaidi ya mwonekano wa njeMagu sio wa sport sport ujue
kesi yao ilishaisha?Makonda kaamua hadi kwenda kucheza![]()
Jamaan wala sijawazia hivyo ujue TUshaaanza kuwaza kupapuchika eeh?
We nakufahamu ujue hukosi na jua hiliMie niko hapa live
AmenMsihukumu msije mkahukumiwa ninyi
Kwa kuwa hukumu ile mhukumuyo ndiyo mtakayohukumiwa, na kipimo kile mpimiacho ndicho mtakachopimiwa
Basi mbona wakitazama kibanzi kilicho ndani ya jicho la ndugu yako na boriti iliyo ndani ya jicho lako mwenyewe huiangalii?
Au utamwambiaje nduguyo, niache nikitoe kibanzi katika jicho lako na kumbe mna boriti ndani ya jicho lako mwenyewe?![]()
MATHAYO:7;1-4
Na hili ndio Neno la Bwana la leo mbarikiwe muwe na jumamosi njema![]()
Baba D jaman unaitwa huku na sakayoMwambie lee arudi, Kumbe anaonaga utamu kutania wenzake tuu.... Yeye akitaniwa ndukiii
Unataka kusema msechu hakuwezi ?Jamaan wala sijawazia hivyo ujue T
Hiyo kesi ni historia..kesi yao ilishaisha?
Mblock tena bhanaaBaba D jaman unaitwa huku na sakayo